Elections 2010 Hatujachagua meya Arusha - CHADEMA

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,173
Hatujachagua meya Arusha - CHADEMA


na Halfani Lihundi, Arusha


amka2.gif
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Arusha kimekanusha kufanya mkutano wa kuchagua meya na kwamba hivi sasa halmashauri inatawaliwa na mameya wawili kutoka CHADEMA na CCM.
Akizungumza na waandishi wa habari jana mjini hapa, Diwani wa Kata ya Kimandolu, Estomil Malla, ambaye ndiye aliyetajwa kuwa ndiye aliyechaguliwa kuwa meya kwa upande wa CHADEMA alisema taarifa hizo si za kweli na kwamba CHADEMA haijawahi kufanya uchaguzi kama huo.
Malla alisema aliyetoa taarifa hizo ana lengo la kuipotosha jamii japo kuwa CHADEMA haimtambui meya aliyechaguliwa na CCM, lakini hawajafanya uchaguzi na hawatarajii kufanya, kwa kuwa wanajua kuwa uchaguzi wa kumchagua meya bado haujafanyika Arusha.
Alisisitiza kuwa meya aliyechaguliwa na CCM si halali, kwani katika uchaguzi huo kuna kanuni za baraza la madiwani ambazo zimevunjwa na kubainisha kuwa CHADEMA inafuatilia suala hilo kisheria.
“Wakati sisi tunafuatilia suala hili kisheria, hatuwezi kuvunja sheria, kwani kufanya hivyo ingekuwa kinyume cha taratibu, mimi sijui jambo hilo limetokea wapi, maana kila nikipita naona watu wanaiita meya huku wengine wakinishangilia, napenda kuwaambia wananchi wajue kuwa mimi si meya,” alisema Malla.
Mbali na hayo, Malla alifafanua kuwa taratibu za kisheria wanazozifuata CHADEMA ni tofauti na mahakama, kwani njia za kisheria zipo nyingi si mahakama pekee.
 
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Arusha kimekanusha kufanya mkutano wa kuchagua meya na kwamba hivi sasa halmashauri inatawaliwa na mameya wawili kutoka CHADEMA na CCM.
Akizungumza na waandishi wa habari jana mjini hapa, Diwani wa Kata ya Kimandolu, Estomil Malla, ambaye ndiye aliyetajwa kuwa ndiye aliyechaguliwa kuwa meya kwa upande wa CHADEMA alisema taarifa hizo si za kweli na kwamba CHADEMA haijawahi kufanya uchaguzi kama huo.

Hizi habari zinajichanganya..........jana kwenye ITV huyu Estomih alinukuliwa akisema amejivua umeya wa Arusha............sasa tunasikia haya mengine............

Pili kama hakuna uchaguzi wa umeya haujafanyika inakuwaje hata yeye Estomih alikuwa meya? Au anataka kusema alijipachika tu?

Arusha inapaswa ifanye uchaguzi wa Umeya ambao utasimamiwa na NEC na wala siyo na watendaji wa manispaa ambao madiwani wanapaswa kuwasimamia...........................Where is NEC in all this?
 
Shida ya kuwa na wasemaji lukuki na media inayotumia hisia ndo hii.tunapata taarifa nyingi kila siku tunazidi kuchanganyikiwa.Mi nilijua situation ni kama Ivory kumbe ni kama Tanzania......lol
 
Walikusudia kufanya uchanguzi siku moja baadaya uchanguzi ule uliofanywa na CCM lakini hawakufanya hivyo kwa ushauri wa watu mbalimbali kuwa kuwa wasi fanye makosa yanayofanywa na CCM hivyo chadema walikusudia kufungua kesi na kufanya mkutano ambao ungefatiwa na maandamano ambayo yalipangwa kufanyika tarehe 29-12-2010 lakini mkutano huo haukufanyika hivyo hata maandamano hayakufanyika…. baada ya uongozi wajuu kuzungumza na waziri mkuu Pinda kuwa watalifanyia kazi swala hilo mpaka kufikia tarehe 4-1-2011 na CDM wana weza kufanya mkutano wao tarehe 05-01-2011….
 
Hatujachagua meya Arusha - CHADEMA


na Halfani Lihundi, Arusha


amka2.gif
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Arusha kimekanusha kufanya mkutano wa kuchagua meya na kwamba hivi sasa halmashauri inatawaliwa na mameya wawili kutoka CHADEMA na CCM.
Akizungumza na waandishi wa habari jana mjini hapa, Diwani wa Kata ya Kimandolu, Estomil Malla, ambaye ndiye aliyetajwa kuwa ndiye aliyechaguliwa kuwa meya kwa upande wa CHADEMA alisema taarifa hizo si za kweli na kwamba CHADEMA haijawahi kufanya uchaguzi kama huo.
Malla alisema aliyetoa taarifa hizo ana lengo la kuipotosha jamii japo kuwa CHADEMA haimtambui meya aliyechaguliwa na CCM, lakini hawajafanya uchaguzi na hawatarajii kufanya, kwa kuwa wanajua kuwa uchaguzi wa kumchagua meya bado haujafanyika Arusha.
Alisisitiza kuwa meya aliyechaguliwa na CCM si halali, kwani katika uchaguzi huo kuna kanuni za baraza la madiwani ambazo zimevunjwa na kubainisha kuwa CHADEMA inafuatilia suala hilo kisheria.
"Wakati sisi tunafuatilia suala hili kisheria, hatuwezi kuvunja sheria, kwani kufanya hivyo ingekuwa kinyume cha taratibu, mimi sijui jambo hilo limetokea wapi, maana kila nikipita naona watu wanaiita meya huku wengine wakinishangilia, napenda kuwaambia wananchi wajue kuwa mimi si meya," alisema Malla.
Mbali na hayo, Malla alifafanua kuwa taratibu za kisheria wanazozifuata CHADEMA ni tofauti na mahakama, kwani njia za kisheria zipo nyingi si mahakama pekee.

Nilishasahau ile methali ya mtaani kwetu isemayo ..."wewe ukisusa, wenzio.............!!"
 
Hatujachagua meya Arusha - CHADEMA


na Halfani Lihundi, Arusha


amka2.gif
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Arusha kimekanusha kufanya mkutano wa kuchagua meya na kwamba hivi sasa halmashauri inatawaliwa na mameya wawili kutoka CHADEMA na CCM.
Akizungumza na waandishi wa habari jana mjini hapa, Diwani wa Kata ya Kimandolu, Estomil Malla, ambaye ndiye aliyetajwa kuwa ndiye aliyechaguliwa kuwa meya kwa upande wa CHADEMA alisema taarifa hizo si za kweli na kwamba CHADEMA haijawahi kufanya uchaguzi kama huo.
Malla alisema aliyetoa taarifa hizo ana lengo la kuipotosha jamii japo kuwa CHADEMA haimtambui meya aliyechaguliwa na CCM, lakini hawajafanya uchaguzi na hawatarajii kufanya, kwa kuwa wanajua kuwa uchaguzi wa kumchagua meya bado haujafanyika Arusha.
Alisisitiza kuwa meya aliyechaguliwa na CCM si halali, kwani katika uchaguzi huo kuna kanuni za baraza la madiwani ambazo zimevunjwa na kubainisha kuwa CHADEMA inafuatilia suala hilo kisheria.
"Wakati sisi tunafuatilia suala hili kisheria, hatuwezi kuvunja sheria, kwani kufanya hivyo ingekuwa kinyume cha taratibu, mimi sijui jambo hilo limetokea wapi, maana kila nikipita naona watu wanaiita meya huku wengine wakinishangilia, napenda kuwaambia wananchi wajue kuwa mimi si meya," alisema Malla.
Mbali na hayo, Malla alifafanua kuwa taratibu za kisheria wanazozifuata CHADEMA ni tofauti na mahakama, kwani njia za kisheria zipo nyingi si mahakama pekee.

Hayo ni maneno ya Chadema tu, lakini vyama vingine vyote vinakubaliana na uchaguzi na deputy mayor ni wa TLP, Serikali tayari imekubaliana na matokeo maana haikuwa tayari kuona mayor pia anatoka upinzani
 
Hizi habari zinajichanganya..........jana kwenye ITV huyu Estomih alinukuliwa akisema amejivua umeya wa Arusha............sasa tunasikia haya mengine............

Pili kama hakuna uchaguzi wa umeya haujafanyika inakuwaje hata yeye Estomih alikuwa meya? Au anataka kusema alijipachika tu?

Arusha inapaswa ifanye uchaguzi wa Umeya ambao utasimamiwa na NEC na wala siyo na watendaji wa manispaa ambao madiwani wanapaswa kuwasimamia...........................Where is NEC in all this?

Ruta unataka NEC wakafanye uchakachuzi mwingine? wako likizo baada ya kazi ngumu ya kumweka JK madarakani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom