Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Imefikia kipindi sasa wanaume tumekuwa hatuhitajiki na wanawake kama zamani.
Sasa hivi wanawake wengi wanajifanyia mambo yao wenyewe kama kulipia karo/ada za watoto, wanajingea nyumba, wananunua magari ya kifahari na wanatembelea magari ya kifahari.
Kikubwa hata kwenye swala zima la mapenzi nako wamekuwa wanajiamlia afanye na nani na asifanye na nani au anaamua kuacha tu kwa vile hana stimu.
Wasi wasi wangu ni kuwa itafika kipindi wanawake watakuwa hawataki kuolewa na kutufanya wanaume tusihijike zaidi kama sasa wanaweza wakapandikizwa kibailojia na wakazaa watoto basi siku zetu wanaume zinahesabika eidha karne zijazo kukawa hakuna kiumbe mwanaume au kukawa na uhaba wa wanaume maana ukiangalia sasa hivi idadi ya wanaume na wanawake inatofautiana wanawake wapo wengi zaidi ndo maana wkt mwingine inatulazimu kuwa na mashori 10 wote unawamiliki.
Sasa hivi wanawake wengi wanajifanyia mambo yao wenyewe kama kulipia karo/ada za watoto, wanajingea nyumba, wananunua magari ya kifahari na wanatembelea magari ya kifahari.
Kikubwa hata kwenye swala zima la mapenzi nako wamekuwa wanajiamlia afanye na nani na asifanye na nani au anaamua kuacha tu kwa vile hana stimu.
Wasi wasi wangu ni kuwa itafika kipindi wanawake watakuwa hawataki kuolewa na kutufanya wanaume tusihijike zaidi kama sasa wanaweza wakapandikizwa kibailojia na wakazaa watoto basi siku zetu wanaume zinahesabika eidha karne zijazo kukawa hakuna kiumbe mwanaume au kukawa na uhaba wa wanaume maana ukiangalia sasa hivi idadi ya wanaume na wanawake inatofautiana wanawake wapo wengi zaidi ndo maana wkt mwingine inatulazimu kuwa na mashori 10 wote unawamiliki.