Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Tunaijua ndiyo. Hatuitaji Kamati wala Tume:
Tunataka katiba mpya!!!
- Katiba ya sasa inaruhusu polisi kufyatulia risasi za moto na kuuwa raia na "upelelezi unaendelea"
- Katiba ya sasa inaruhusu ufisadi kama huu wa Richmonduli, Dowans, Epa nakazalika
- Katiba ya sasa inaruhusu mtu mmoja (jina ninalo) kuteua Rais wa nchi
- Katiba ya sasa inaruhusu masikini waendelee kuwa masikini na matajiri (tena wengi wao siyo Watanzania) kuendelea kuwa matajiri.
- Katiba ya sasa inaruhusu rasilimali zetu kuvunwa kiholela kwa makubaliano kati ya waziri mwenye dhamana na wawekezaji/wakoloni
Tunataka katiba mpya!!!