Hatua za Ugonjwa wa VVU/UKIMWI (HIV/AIDS stages)

MziziMkavu, nikishakuwa rais wa Tanzania nitakuchaguwa kuwa waziri wa afya kutokana na michango yako uiletayo humu kwani inawasaidia sana watu nami nikiwa ni mmoja wao. Ulileta mada moja juu ya majini siku za nyuma na nikawapa ile nakala ndugu zangu waliokuwa na hili tatizo kwa muda mrefu. Kwa kweli baada ya kusoma zile habari na kupata uelewa wa uhakika, wakaja pata mganga mzuri tu na sasa binamu yangu ni mzima kwa ajili yako wewe. Bahati mbaya dada zangu wote wameolewa ningekupa mmoja lakini uwaziri utaupata tu bila kujali chama chako (CCM) kwani najuwa utakikana baada ya kupata ulaji, si ndiyo? Basi, subiri 2015.
 
Last edited by a moderator:
MziziMkavu, nikishakuwa rais wa Tanzania nitakuchaguwa kuwa waziri wa afya kutokana na michango yako uiletayo humu kwani inawasaidia sana watu nami nikiwa ni mmoja wao. Ulileta mada moja juu ya majini siku za nyuma na nikawapa ile nakala ndugu zangu waliokuwa na hili tatizo kwa muda mrefu. Kwa kweli baada ya kusoma zile habari na kupata uelewa wa uhakika, wakaja pata mganga mzuri tu na sasa binamu yangu ni mzima kwa ajili yako wewe. Bahati mbaya dada zangu wote wameolewa ningekupa mmoja lakini uwaziri utaupata tu bila kujali chama chako (CCM) kwani najuwa utakikana baada ya kupata ulaji, si ndiyo? Basi, subiri 2015.
Mkuu Mkereketwa_Huyu asante sana kwa kunipongeza mimi sina chama chochote kile cha kisiasa nincho unga mkono ila chama chochote kile kitakacho shinda uchaguzi na kuunda Serikali ndio nitakacho kiunga mkono maana

ndio chama kitakacho kubaliwa na wengi Kiwe ni chama vha CCM au chadema, Au CUF .Chama chochote kile kitakacho

unda Serikali inayokuja ya Mwaka 2015 ndio nitakacho kiunga mkono Mambo ya Siasa ninawaachia wenyewe Wana

Siasa mkuu. Nikupe Faida ingine muhimu kwa Wagonjwa wa Ukimwi Ikiwa mtu ana ukimwi akinge Mwenyewe Mkojo

wake kila Asubuhi anapoamka kabla ya kula kitu awe anakunywa kila Siku mkojo wake mwenyewe kwa muda wa miezi 3, kisha akapime kuangalia je anao ukimwi?Atakuta ameshapona ukimwi Ushahidi huo hapa chini...............



[SIZE=+2]Aids-1[/SIZE],
- Several years ago, Max Caicedo was in Puerto Rico visiting his family for what he believed was the last

time because doctors had given him a month or two to live. Mr. Caicedo was dying from opportunistic

infections caused by AIDS. He had been taking medication for several years and was close to death. He was very weak and needed a wheelchair. A loving niece in New York had faith that he would recover, somehow.

She recorded a lecture I gave on radio in New York and rushed the tape to her uncle. There was no time to

loose. Caicedo had lost faith and had already paid for funeral services and a cemetery plot. He listened to

the tape and decided to try it since he had nothing to lose. He threw away all medications and started to

drink his urine as suggested. This is a decision that he will never regret because it saved his life.
[SIZE=+1]
Withing three days
[/SIZE], he had eliminated more excrement than in the previous six months. All his

aches and pains were gone by the first week and his appetite and desire to live were back 100 percent.

Within 10 days he had no need for the wheelchair and was gaining weight. Six weeks after the radio

interview, he attended one of my monthly lectures to describe his positive experience with Uropathy.

Caicedo was a new man who had gained 30 pounds. Six months later, he had visited Mexico, Miami and was

on his way to Spain. He visited his doctors occasionally to make sure everything was okay and to see the

baffled looks on their faces when they saw how healthy he was.

[SIZE=+2]Aids-2,[/SIZE]-
Quique Paladino had full-blown AIDS in 1985 with ulcers of the mouth and sores in the esophagus and

stomach. He also had Kaposi's sarcoma on his face and inside his mouth, and a terrible case of athlete's foot

that was reaching his knees. Paladino was a pharmaceutical drug salesman with access to all kinds of

medications, but every medication he tried was useless against his health problems. One night he Attended

a conference on uropathy, but the idea of drinking his own urine or applying it to the skin repulsed him.

Paladino could not sleep at night because the ulcers on his legs were frantically itching and driving him

insane. He would scratch in a frenzy causing more injury and bleeding. In an act of desperation he applied

urine to his legs ignoring his education and medical training. Urine stopped the itching in minutes and for the

first time in months he slept more than six hours. A week later the ulcers that tormented him for more than

three years were almost gone. A few weeks later the ulcers in his mouth disappeared and several months

after that the Kaposi's sarcoma lesions he had on his face were gone.

His quick recovery motivated him to do some research and he was stunned when he discovered close to 800

references to urine as a therapeutic agent. He was so fascinated with the information discovered that he

organized "The Water of Life" monthly meetings at the Gay Lesbian Community Center as a support group to

share his positive experience with other AIDS patients.


 
Last edited by a moderator:
Urine Therapy (Uropathy)
Your Body's Own Best Medicine, A Powerul Infection Fighter

"You may think that when it comes to alternative health therapies you've heard it all. But there is one natural therapy you've probably never heard of ---even though its one of the most powerful, most researched and most medically proven natural cures ever discovered." Martha ChristyUrine Therapy: it may save your life!

"For almost the entire course of the 20th century, unknown to the public, doctors and medical researchers have been proving in both laboratory and clinical testing that our own urine is an enormous source of vital nutrients, vitamins, hormones, enzymes and critical antibodies that cannot be duplicated or derived from any other source. They use urine for healing cancer, heart disease, allergies, auto-immune diseases, diabetes, asthma, infertility, infections, wounds and on and on -- yet we're taught that urine is a toxic waste product. This discrepancy between the medical truth and the public information regarding urine is ludicrous and, as the news releases you've just read demonstrate, can mean the difference between life and death to you and to your loved ones." Martha Christy



Healing with Urine Therapy

Urine is not a dirty and toxic substance rejected by the body. Urine is a by-product of blood filtration, not waste filtration. Medically it is referred to as "plasma ultrafiltrate". It is a purified derivative of the blood itself, made by the kidneys--whose principal function is not excretion but regulation of all the elements and their concentrations in the blood. Urine can be compared to leftovers from a meal, and this metaphor may help us understand why our bodies excrete elements that are valuable to our health and well-being.

Nutrient-filled blood passes through the liver where toxins are removed to be excreted as solid waste. Eventually, this purified "clean" blood undergoes a filtering process in the kidneys, where excess water, salts, vitamins, minerals, enzymes, antibodies, urea, uric acid and other elements not usable at that time by the body are collected in the form of a purified, sterile, watery solution that is urine. The function of the kidneys is to keep the various elements in the blood balanced. The important elements in the blood are not filtered out because they are toxic and harmful to the body, but simply because the body does not need a particular concentration of an element at that specific point in time. It is this very regulating process of the kidneys that allows us to eat and drink more than our bodies need at any one time.

Urine is considered to be an invaluable source of nourishment and healing that perhaps has been too controversial or not financially rewarding enough for it to be talked about and encouraged as a potent medicine. One's own urine, a living food, contains elements that are specific to one's body alone. The body is constantly producing a huge variety of antibodies, hormones, enzymes and other natural chemicals to regulate and control its functions and combat imbalances that one may not be aware of. --

Clinical studies have proved that the thousands of critical body chemicals and nutrients that end up in urine reflect the individual body's functions. When re-utilised, these chemicals and nutrients act as natural vaccines, antibacterial, antiviral and anticarcinogenic agents as well as hormone balancers and allergy relievers. The information that urine contains therefore cannot be duplicated or derived from any other source. Just as nature produces no two people who are exactly the same, there are no two urine samples in the world that contain exactly the same components. more

"Don't take this therapy lightly. Multiple sclerosis, colitis, lupus, rheumatoid arthritis, cancer, hepatitis, hyperactivity, pancreatic insufficiency, psoriasis, eczema, diabetes, herpes, mononucleosis, adrenal failure, allergies and so many other ailments have been relieved through use of this therapy. After you overcome your initial gag response (I know I had one), you will realize that something big is going on, and if you are searching for health, this is an area to investigate. There are numerous reports and double blind studies which go back to the turn of the century supporting the efficacy of using urine for health." Biomed

Urine therapy can be a very effective healing modality. Sometimes when all else fails, urine therapy will turn a person around. Excerpt from Biomedx.com

Ms. Christy was sick. Very sick. For a very long time. Pelvic inflammatory disease, ulcerative colitis, Chron's disease, chronic fatigue syndrome, Hashimoto's disease, mononucleosis. She had severe kidney infections, two miscarriages, chronic cystitis, severe candida, endometriosis, adrenal insufficiency, serious chronic ear and sinus infections, food and chemical allergies. And that wasn't the half of it. She had every conceivable medical test, her share of surgery, and drugs - plenty of them. Then she tried all forms of alternative therapy. Homeopathy, herbs, mega-vitamins and liv-cell treatments in Mexico. After traditional medicine failed to work, she and her husband spent over $100,000 trying to get her well with alternative approaches. Nothing worked.

And then one day, her husband brought home a little book that told of how individuals had been cured of even the worst diseases with a seemingly strange and little-known natural therapy. Soon afterwards, she began the therapy herself. From the first day she began, she received almost instantaneous relief from her incurable constipation and fluid retention. Within a week, her severe abdominal and pelvic pain was gone. The chronic cystitis and yeast infections (internal and external) soon disappeared and her food allergies, exhaustion, and digestive problems all began to heal. After a few more months, her colds, flu, sore throats and on again off again viral symptoms disappeared. Her hair which had fallen out by the handfuls after her fifth surgery became thick and lustrous. Her weight normalized, and her energy and strength came back. After nearly 30 years of non-stop illness, Martha Christy was whole again.

What was this therapy that she had discovered? What was this therapy that has helped seriously ill patients gain complete remissions from their afflictions? What was it that she actually did? Well, here it is. She orally and medicinally re-consumed her own urine. read the rest:Urine Therapy: Your Own Perfect Medicine by Martha Christy

UROTHERAPY FOR PATIENTS WITH CANCER
Joseph Eldor, MD

Cancer cells release various antigens, some of which appear in the urine. Oral auto-urotherapy is suggested as a new treatment modality for cancer patients. It will provide the intestinal lymphatic system the many tumor antigens against which antibodies may be produced. These antibodies may be transpierced through the blood stream and attack the tumor and its cells. Learn more about tumor antigens in urine

What is urine therapy? How does it work?
"Urine therapy has been practised for thousands of years and has merely fallen a bit into obscurity in the last century. However, urine therapy may seem to be unorthodox and perhaps revolutionary, it does not introduce anything new or original. It has been known throughout the centuries both in the West and in the East. Dr. Evagelos Danopouolos of Greece reported that urea found in urine has anti-cancerous properties. The urea seems to disrupt the ability of cancer cells to group together and kills them by upsetting some of their normal metabolic activities. Urine therapy has been used to treat cancers of the skin, cervix, lungs, eyes, breast, and liver. The first question that probably comes to mind is whether urine is not a toxic substance and how a toxic waste product could ever be of any benefit for your health. Well, urine is NOT a toxic waste product and this has been scientifically proven. 95% of urine is water, 2.5% consists of urea and the remaining 2.5% is a mixture of minerals, salt, hormones and enzymes. Toxic substances are being removed from the body through the liver and intestines, through the skin and through the outbreath. Excerpt from the Medical Alternative Network

"No matter how hard it may be for you to stomach, the fact is that knowing the truth about this incredible natural substance (urine) will be one of the most crucial health facts you'll ever learn. And one of the most remarkable things about this incomparable natural therapy is that the medical community has already been aware of its astounding efficacy for decades, and yet none of us has ever been told about it. Why? Maybe they think it's too controversial. Or maybe, more accurately, there wasn't any monetary reward for telling people what scientists know about one of the most extraordinary natural healing elements in the world." Martha Christy

Urine Therapy An Amazing Untold Story
by Martha Christy

There is an extraordinary natural healing substance, produced by our own bodies, that modern medical science has proven to be one of the most powerful natural medicines known to man.The extensive medical research findings on this natural medicine have never been compiled and released to the general public before now, but those who have been fortunate enough to hear about this medicine and use it have found that it can produce often astounding healing even when all other therapies have failed. more

UROPATHY The Most Powerful Holistic Therapy
by Martin Lara

Urine therapy (Uropathy) is one approach to health that is 100% safe to use, it is extremely effective, has never harmed anyone and it is absolutely free of charge. It cannot be controlled and you truly benefit from using it. Thousands of urine therapy advocates certify that this is a healing modality that activates de lymphatic system which detoxifies the body and starts the true process of healing and regenerating the body. Once you become familiar with UROPATHY and start using your urine, you will be able to fight individual diseases, prevent and reverse the conditions that make you susceptible to all types of health problems including: childhood diseases, allergies, common cold, flu, hepatitis, arthritis, hypertension, all types of infections and fevers, cancer and the opportunistic infections associated with AIDS.

Learn to perpare a strong and powerful formula against most diseases. This simple formula has been used against all allergies, for all types of fevers especially for babies and infants. It is effective against the flu, common cold, dry skin, eczema, psoriasis and all other skin problems. Learn more about urine's healing properties for: Hypertension, Hepatitis, Gall Stones, Lyme Disease, Dysentery , Arthritis, and Cholera

The Miracles of Urine Therapy
by Dr. Beatrice Bartnett & Margie Adelman

The Therapy outlined in this book is an entirely drugless system of healing; the only ingredient is a substance manufactured by the body, rich in minerals, salt, hormones, and other vital substances, namely human urine. This book includes case studies of patients successfully treated with urine therapy. It also provides scientific proof of the efficacy of urine as well as an in-depth look at the history and metaphysical roots supporting Urine-Therapy.

UROTHERAPY FOR PATIENTS WITH CANCER
Joseph Eldor, MD

Cancer cells release various antigens, some of which appear in the urine. Oral auto-urotherapy is suggested as a new treatment modality for cancer patients. It will provide the intestinal lymphatic system the many tumor antigens against which antibodies may be produced. These antibodies may be transpierced through the blood stream and attack the tumor and its cells.

"Your Own Perfect Medicine" by Martha Christy

In this extraordinary how-to book, Martha Christy examines research findings and testimonials relating to urine therapy, and includes step-by-step instructions to using urine therapy at home. In its examination of this ancient therapy which has been around for over 5,000 years, Your Own Perfect Medicine makes use of information from urologists, neurologists, immunologists, pediatricians, dermatologists and university researchers to state its case for urine therapy. Ms. Christy also answers the important question, "why haven't the thousands of findings on urine therapy been publicized?" This book is a valuable tool for the growing numbers of consumers who are determined to take control of their own health.

read an excerpt of Your Own Perfect Medicine

SELF-THERAPY METHODS
Excerpt from Nexus Magazine Healing with Urine Therapy

The middle stream of fresh, warm, morning urine is the most potent, and drinking it mixed with freshly squeezed orange juice is probably the fastest way to accomplish this task, although it is best not to mix urine with other foods or drinks or to take it within an hour before or after eating.

Oral drops of fresh urine can be placed directly under the tongue. Urine therapists suggest their patients start with 5 drops of fresh morning urine on the first day, increase to 5&endash;10 drops on the second day, and take 10 drops on the morning of the third day and the same amount that evening before going to bed. Once patients feel comfortable with this therapy, they can gradually increase the amount as they see fit to obtain the results required for their body's condition. Over time, they can learn to adjust the amount that is needed by observing their reactions to the therapy; their dosage may become as much as one full cup at a time!

Self-urine may be used as eye drops and ear drops, in foot baths and even as effective enemas. Nose drops can help loosen mucus and clear up blocked nasal passages. Gargling with it is helpful for a sore throat, and inhaling it relieves sinus and respiratory congestion. Taken internally, it has a laxative and diuretic effect, as it cleanses the digestive tract.

Dr John Armstrong (author of The Water of Life) emphasises the need to massage with urine. He insists that cures work faster and more effectively in those who are bathed, massaged, rubbed and soaked in their own urine. He highly recommends it for more serious illnesses, since urine is absorbed through the skin and the hormonal and protein-based contents are slowly reabsorbed into the system, bypassing digestive juices that otherwise may have neutralised their potency. In this way, it also works as an excellent cosmetic for moisturising and healing skin blemishes, burns and scar tissue. However, for this usage, it is preferable to use urine that is 4 - 8 days old. The smell of ammonia in the old urine is not toxic but actually beneficial if used topically only, and not taken internally.

From the Biomed x website:
Very briefly, here are two ways to do urine therapy. This is in no way a complete discussion of how to use the therapy, but simply an introduction.

1) Use your own urine in a homeopathic fashion.

First, collect midstream urine in a clean cup or container. This should be a clean catch, meaning the genital area (important for women in particular) has been cleaned beforehand. To 1/6 ounce of distilled water in a sterile bottle, add one drop of fresh urine. Cap and shake 50 times. Take one drop of this mix and add to another 1/6 ounce of distilled water and shake 50 times. Take one drop of this mix and add to 1/6 oz. of 80 to 90 proof vodka which acts as a preservative.

Place three drops under the tongue hourly until there is obvious improvement or temporary exacerbation of symptoms. As improvement progresses, lengthen the interval between treatments. After 3 days, suspend treatment to avoid pushing the immune system. Treatment is resumed if progress remains static or relapse occurs.

2) Begin with oral drops then increase dosage as needed.

Use fresh urine drops direct. For some cases, sub-lingual drops work well.
(Should always use fresh urine immediately upon collection. You should not boil or dilute the urine in any way. You must use it in its natural form)

Start by taking 1-5 drops of morning urine on the first day. On the second day, take 5-10 drops in the morning. On the third day, take 5-10 drops in the morning, and the same amount in the evening before you go to bed.

Once you feel accustomed to the therapy, gradually increase the amount as needed for obtaining results for your condition. As you use the therapy, you will learn to adjust the amount you need by observing your reactions to the therapy. It may be that you'll work up to actually drinking an ounce or two at a time.

The Fountain of Youth
by Bob Silverstein, N.U.T. (Naturopathic Urine Therapist)

This strange behavior, called "urine therapy," or "auto-immune therapy," or "intrinsic medicine," or simply "UT," and also known in India as "amaroli" (the practise itself) and "Shivambu" (urine, the "water of Shiva"), has a well-documented, proven record of its power to heal an amazing variety of ills, with no negative or harmful effects. Urine is a divine nectar, with supernatural qualities. After all, as the Bible says, "the life (or life-force) of the flesh is in the blood," and as urine comes from the blood, it contains that "life-force." Imbibed fresh and warm, it is a living food, and a nourishing drink, that is also cleansing, as well as medicinal. Urine is anti-bacterial, anti-fungal, and anti-viral. It is used in cases of AIDS (only AIDS anti-bodies in urine); cancer; fatigue; anemia; all sorts of urinary diseases, for weight-loss, colds and flu, candida, diabetes, digestive problems, jaundice, etc. It is medically-proven against polio, rabies, and tuberculosis. The list of diseases for which it is effective is very long, and around 175 known diseases are said to respond to this kind of therapy. (See longer, partial list at end of this report). Urine therapy is truly a "panacea" (i.e., a "cure-all" or "universal remedy")

THE GOLDEN FOUNTAIN
by Coen van der Kroon

"Briefly, if urine is ingested and/or rubbed into the skin, it purifies blood and tissues, provides useful nutrients and sends the body a signal about what is in or out of balance. This last effect is called (oral) auto-immunization. This brings us at a last important feature of urine. Urine itself is, as said, not a toxic waste product. It does contain however minute particles connected with possible disease processes in the body. These minute particles are mainly antibodies, which upon re-ingesting can help the body to react on specific pathological situations. Urine therapy has proven helpful in a great number of various diseases, ranging from a simple cold and a throatache, to tuberculosis and asthma, from minor skin problems such as itching, to more serious skin diseases such as eczema, psoriasis and even skin cancer."

Ayurveda & Yoga: Amaroli
An explanation of the practice of Amaroli, Shivambu, or Auto-Urine Therapy follows. This practice comes from Yoga and is the use of one's own urine as food, medicine, restorative, transforming agent and immune system booster. It is sometimes called 'Your Own Doctor'. Amaroli is very simple to do and increases the power of the immune system, strengthens the Aura and improves skin health. Spiritual aspirants will find that the mind is less inclined to behave like a monkey, spiritual energy is kept high, and progress towards samadhi is smoother. The effects are magnified if the practitioner has a Yoga practice and an Ayurvedic diet and lifestyle.

Three million Chinese drink their own urine
More than three million Chinese drink their own urine in the belief it is good for their health, the official Xinhua news agency reported on Friday. Participants at a recent seminar on the practice in the northeastern city of Shenyang were told that urine contains many active ingredients which strengthen the immune system, Xinhua said.

"Urine contains no bacterium and is more sanitary than blood," Yang Liansheng, a professor from the Liaoning Institute of Traditional Chinese Medicine, was quoted as saying. Engineer Zhu Jinfu told the seminar he had been drinking his own urine since he was 13 and had lived a healthy life for the last 58 years, Xinhua added. Many of his forefathers had also lived to a ripe old age thanks to urine therapy, he said. (Reuters)

Urine Therapy: Nature's Elixir for Good Health
by Flora, Ph.D. Peschek-Bohmer, Gisela Schreiber, Flora, Ph.D Peschek-Bohmer

An introduction to urine therapy 's amazing effectiveness in treating a wide array of physical complaints. Contains effective treatments for acne, asthma, hair loss, indigestion, infections, migraines, warts, wrinkles, and many other common ailments. Examines the historical use of urine therapy in the United States, Europe, and Asia. Includes a program for overcoming initial aversion to urine therapy.

If you are like most people, trained from their earliest years to regard urine as a mere waste product, the thought of using it for its healing powers may seem shocking. Yet urine has long played an important role in the holistic medical traditions of societies all over the world, and is even mentioned in the Ebers Medical Papyri of ancient Egypt. For centuries people have been availing themselves of urine's incredible curative powers for ailments ranging from anemia to warts. Urine is free, sterile, and acts homeopathically to "prepare" the immune system. Urine Therapy includes many case histories of people who have successfully treated their ailments with urine, along with cogent explanations of why urine does what it does, how to ensure that the wastes flushed out with your urine aren't taken back in, and why urine may be the best tonic available for your immune system.

source. Urine Therapy: A cure for all diseases
 
Asante mkuu kwa topic nzuri yenye kuelimisha. Inatisha, inaogopesha ila ujumbe umefika.
Mkuu ubungo Haya ni Maradhi yaliyotengenezwa na madawa ya sumu na wazungu ili kupunguza idadi ya Watu Duniani. Tunaweza kusema ni Silaha ya Kibiolojia (biological weapon) iliyotengenezwa na Wazungu kupunguza Watu duniani kwa kuwauwa Watu kwa Maradhi na Wazungu wanajuwa Dawa yake haya Maradhi ya ukimwi lakini wameficha kwanza.

[SIZE=-1]AIDS/HIV/AZT [/SIZE]
What if everything you thought you knew about AIDS was wrong? "AIDS is a cruel deception that is maintained because so many people are making money from it. Take away this money and the entire system of mythology will collapse." Charles Thomas, PhD · Former chair of the Cell Biology Department, Scripps Research InstituteThe True Origins of AIDS and Ebolaby Dr. Leonard Horowitz "The most massive, well documented assembly of evidence ever published in support of the idea that the AIDS virus could have been manufactured as a biological weapon....If you scoff at the notion, you won't be so cocky once you see how much evidence exists.You'll never think of AIDS that same way again....I recommend it most highly."Russ Kick, Book Review
A growing number of scientists world-wide have publicly denounced the total failure of the HIV/AIDS hypothesis and criticized the use of AZT which has been proven to be a toxic poison. Healing AIDS: a holistic approach.
 
Hawa watu ni waovu sana. Wanatesa na kuua binadamu wenzao ili kujipatia mapesa mengi.
Mkuu ubungo Wazungu ni Mashetani wanatengeneza Maradhi ya kuwauwa Watu ili wapatee Pesa wazungu wanawaogopa sana Watu weusi mkuu wanatumia kila mbinu kupunguza watu Duniani ili wapate pesa.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mkereketwa_Huyu asante sana kwa kunipongeza mimi sina chama chochote kile cha kisiasa nincho unga mkono ila chama chochote kile kitakacho shinda uchaguzi na kuunda Serikali ndio nitakacho kiunga mkono maana

ndio chama kitakacho kubaliwa na wengi Kiwe ni chama vha CCM au chadema, Au CUF .Chama chochote kile kitakacho

unda Serikali inayokuja ya Mwaka 2015 ndio nitakacho kiunga mkono Mambo ya Siasa ninawaachia wenyewe Wana

Siasa mkuu. Nikupe Faida ingine muhimu kwa Wagonjwa wa Ukimwi Ikiwa mtu ana ukimwi akinge Mwenyewe Mkojo

wake kila Asubuhi anapoamka kabla ya kula kitu awe anakunywa kila Siku mkojo wake mwenyewe kwa muda wa miezi 3, kisha akapime kuangalia je anao ukimwi?Atakuta ameshapona ukimwi Ushahidi huo hapa chini...............



[SIZE=+2]Aids-1[/SIZE],
- Several years ago, Max Caicedo was in Puerto Rico visiting his family for what he believed was the last

time because doctors had given him a month or two to live. Mr. Caicedo was dying from opportunistic

infections caused by AIDS. He had been taking medication for several years and was close to death. He was very weak and needed a wheelchair. A loving niece in New York had faith that he would recover, somehow.

She recorded a lecture I gave on radio in New York and rushed the tape to her uncle. There was no time to

loose. Caicedo had lost faith and had already paid for funeral services and a cemetery plot. He listened to

the tape and decided to try it since he had nothing to lose. He threw away all medications and started to

drink his urine as suggested. This is a decision that he will never regret because it saved his life.
[SIZE=+1]
Withing three days
[/SIZE], he had eliminated more excrement than in the previous six months. All his

aches and pains were gone by the first week and his appetite and desire to live were back 100 percent.

Within 10 days he had no need for the wheelchair and was gaining weight. Six weeks after the radio

interview, he attended one of my monthly lectures to describe his positive experience with Uropathy.

Caicedo was a new man who had gained 30 pounds. Six months later, he had visited Mexico, Miami and was

on his way to Spain. He visited his doctors occasionally to make sure everything was okay and to see the

baffled looks on their faces when they saw how healthy he was.

[SIZE=+2]Aids-2,[/SIZE]-
Quique Paladino had full-blown AIDS in 1985 with ulcers of the mouth and sores in the esophagus and

stomach. He also had Kaposi's sarcoma on his face and inside his mouth, and a terrible case of athlete's foot

that was reaching his knees. Paladino was a pharmaceutical drug salesman with access to all kinds of

medications, but every medication he tried was useless against his health problems. One night he Attended

a conference on uropathy, but the idea of drinking his own urine or applying it to the skin repulsed him.

Paladino could not sleep at night because the ulcers on his legs were frantically itching and driving him

insane. He would scratch in a frenzy causing more injury and bleeding. In an act of desperation he applied

urine to his legs ignoring his education and medical training. Urine stopped the itching in minutes and for the

first time in months he slept more than six hours. A week later the ulcers that tormented him for more than

three years were almost gone. A few weeks later the ulcers in his mouth disappeared and several months

after that the Kaposi's sarcoma lesions he had on his face were gone.

His quick recovery motivated him to do some research and he was stunned when he discovered close to 800

references to urine as a therapeutic agent. He was so fascinated with the information discovered that he

organized "The Water of Life" monthly meetings at the Gay Lesbian Community Center as a support group to

share his positive experience with other AIDS patients.






Mheshimiwa waziri mtarajiwa MziziMkavu, hii nayo ni kali. Sasa kama hii kitu ni kweli mbona madaktari hawasemi kujuza watu?
 
Last edited by a moderator:
Mheshimiwa waziri mtarajiwa MziziMkavu, hii nayo ni kali. Sasa kama hii kitu ni kweli mbona madaktari hawasemi kujuza watu?
Mkuu Mkereketwa_Huyu kuna Vitu vingine hawawezi kusema

Ma-Daktari kwa sababu ni Siri yao mkuu mimi sio Daktari ndio maana ninasema ukweli wa mambo . Mimi ni Mtafiti na

Mchunguzi Mtaalam wa Dawa za Mitishamba ( Researcher and Investigator professionals in Herbal Medicine) Mkuu Mkojo

wako unatibu maradhi mengi sio hayo tu ya Ukimwi mkojo wako mwenyewe unatibu zaidi ya Maradhi 30 mwilini mwako

sasa unafikiri Ma-Daktari wakisema ukiumwa na Maradhi nenda kajitibie an mkojo wako nani atanunuwa Madawa kwenye

Maduka ya Madawa? hujuwi kuwa kuna Biashara hapo inafanyika baina ya Ma-Daktari na wauza Madawa ya kizungu? Ukiwa

unaumwa ukinywa mkojo wako nani tena atanunuwa Madawa ya Pharmacy Maduka? Viwanda si vitafilisika mkuu? Kuna Siri kubwa

kati ya Ma-Daktari na wauza Madawa ya kizungu ninakuacha hapo mkuu Mambo mengine hayafai kuzungumzwa.
 
Tukumbuke AIDS imeletwa kwa makusudi kuwaua watukatika Third World Countries,hasa Africa. Inatokana na bovine leukemia virus croossee with the sheep virus,I forget the name of that virus,'visna;,nadhani,pamoja ambavyo vilichanganywa katika smallpox vaccine. Pia hepatitis b vaccine has been known to cause AIDS,kwa ajili ya carelessness ya World Health Organization. I hope these matters were addrressed katika huu mkutano wa vaccines uliofanyika juzi Dar es Salaam.
AIDS ni weapon eveloped for biological warfare by the Americans and the Russians. It can be cured,lakini watu wanangojea kupata windfal kibiashara to being the cure.
 
Tukumbuke AIDS imeletwa kwa makusudi kuwaua watukatika Third World Countries,hasa Africa. Inatokana na bovine leukemia virus croossee with the sheep virus,I forget the name of that virus,'visna;,nadhani,pamoja ambavyo vilichanganywa katika smallpox vaccine. Pia hepatitis b vaccine has been known to cause AIDS,kwa ajili ya carelessness ya World Health Organization. I hope these matters were addrressed katika huu mkutano wa vaccines uliofanyika juzi Dar es Salaam.
AIDS ni weapon eveloped for biological warfare by the Americans and the Russians. It can be cured,lakini watu wanangojea kupata windfal kibiashara to being the cure.
Mkuu Andrew Nyerere Katika huo mkutano wa wa vaccines uliofanyika juzi Dar es Salaam. Wameamuwa kufanya kitu gani ili kuupiga vita huu Ugonjwa sugu wa AIDS/UKIMWI? Kwanini Sisi Waafrika hatuwi kitu kimoja ili kutokomeza Ugonjwa huu Mbaya barani Afrika?Mpaka tutegemee Misaada toka Amerika na Ulaya?
 
Mkuu Mkereketwa_Huyu kuna Vitu vingine hawawezi kusema

Ma-Daktari kwa sababu ni Siri yao mkuu mimi sio Daktari ndio maana ninasema ukweli wa mambo . Mimi ni Mtafiti na

Mchunguzi Mtaalam wa Dawa za Mitishamba ( Researcher and Investigator professionals in Herbal Medicine) Mkuu Mkojo

wako unatibu maradhi mengi sio hayo tu ya Ukimwi mkojo wako mwenyewe unatibu zaidi ya Maradhi 30 mwilini mwako

sasa unafikiri Ma-Daktari wakisema ukiumwa na Maradhi nenda kajitibie an mkojo wako nani atanunuwa Madawa kwenye

Maduka ya Madawa? hujuwi kuwa kuna Biashara hapo inafanyika baina ya Ma-Daktari na wauza Madawa ya kizungu? Ukiwa

unaumwa ukinywa mkojo wako nani tena atanunuwa Madawa ya Pharmacy Maduka? Viwanda si vitafilisika mkuu? Kuna Siri kubwa

kati ya Ma-Daktari na wauza Madawa ya kizungu ninakuacha hapo mkuu Mambo mengine hayafai kuzungumzwa.



Kweli Kikwete anabugi madarakani. Jamani katibu mkuu wa wizara ya afya si huyu tunae hapa JF? 2015 naona iko mbali.
 
Kweli Kikwete anabugi madarakani. Jamani katibu mkuu wa wizara ya afya si huyu tunae hapa JF? 2015 naona iko mbali.
Mkuu Mkereketwa_Huyu Muachie Mzee J.Kikwete amebakiza Miaka yake 3 ya Uongozi atakwenda kupumziika waje viongozi wenye kupenda kuwasaidia Walala hoi na masikini ndio na akina sisi ndio tunaweza kujitokeza Tunataka Viongozi walio bora kama alivyokuwa enzi zake Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere hatutaki viongozi wanaopenda kuwaumiza Walala hoi asante sana mkuu.
 
HIV na Ukimwi barani Afrika
clear.gif
20050706164213aidsgraphic203.jpg
Afrika kusini ya jangwa la Sahara, ndilo eneo lililoathiriwa zaidi na janga la Ukimwi. Eneo hili lina asilimia 10 tu, ya jumla ya idadi ya watu kote duniani, lakini ndilo lenye idadi kubwa zaidi ya watu waishio na virusi vya HIV.

Yaani - theluthi mbili (2/3) za watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi kote duniani.
Ukimwi husababisha vifo vya watu takriban watu 6,000 kila siku barani Afrika.

Pindi mtu anapoambukizwa virusi vya HIV, huishi navyo kwa maisha yake yote kwani hakuna tiba, lakini siku hizi yapo madawa speshei ya kupunguza makali ya ukimwi hivyo basi kusaidia walio ambukizwa kuishi kwa muda mrefu.
clear.gif
HIV na Ukimwi barani Afrika
Ukweli ni kwamba: Zaidi ya watu milioni mbili nchini Kenya wameambukizwa virusi vya HIV vinavyosababisha Ukimwi.
Ukweli ni kwamba: Nchini Uganda Ukimwi ndio unaoongoza kwa kusababisha vifo kwa wale wenye umri wa kati ya miaka 15 hadi 49.
Ukweli ni kwamba: Ukimwi umewaathiri zaidi wanawake kuliko wanaume hasa vijana walio kwenye umri wa kuanzia miaka 15 hadi 24.
Ukweli ni kwamba:Maambukizo ya virusi vya ukimwi miongoni mwa watu wazima katika sehemu za mijini ni karibu mara mbili zaidi kuliko sehemu za mashambani.
Ukweli ni kwamba: Karibu wakenya 150,000 hufa kwa ukimwi kila mwaka.
UNAIDS report 2004

HIV ni nini?

ni ufupisho wa Human Immunodefeciency Virus yaani virusi vinavyoua kinga ya mwili. Ni HIV ni kirusi kinachoharibu uwezo wa mwili wako wa kujihami dhidi ya maambukizo.

Watu wengi hufikiria kwamba watu ambao wana virusi hivyo, wana Ukimwi, ukweli ni kwamba virusi vya HIV ndivyo vinavyosababisha Ukimwi,

yaani yawezekana mtu akawa na virusi vya ukimwi kwa muda mrefu bila ya kuugua ukimwi.

Hii inamaanisha anaweza kuwa na HIV bila kujua, wala kuona dalili zozote - Wakati huo iwapo tahadhari hazitachukuliwa anaweza kumwambukiza mtu mwengine .


Ukimwi ni nini?


Neno Ukimwi lina maana ya Ukosefu wa Kinga Mwilini. Hapa virusi vya HIV huwa vimeshambulia kinga ya aliyeambukizwa kiasi kuwa, mwili wake wauwezi tena kujipa ulinzi dhidi ya maambukizo.
Hivyo huonyesha dalili za magonjwa tofauti

tofauti na hata saratani, hapo ndipo wanasemekana kwamba wana ukimwi. Wakati

huo ndipo kinga yao ya mwili huwa ni dhaifu sana, na magonjwa alo nayo yanakuwa vigumu kuyatibu na ndipo hapo ukimwi unasababisha kifo.

Fahamu kuwa kila mtu hukumbana na viini ambavyo husababisha magonjwa, lakini kama kinga yako ni imara si rahisi kupata maambukizo na hata ukipata ni rahisi kuyatibu lakini kwa wale waishio na virusi vya ukimwi kinga yao huwa imedhoofishwa sana kiasi kuwa

akikumbana na viini ni rahisi kwake kupata maradhi na hata akitibiwa inachukua mda kupona.
Lakini ni vyema kufahamu kuwa siku hizi kuna dawa spesheli kwa watu wenye virusi vya HIV ambazo hupunguza

makali ya ukimwi. Dawa hizi husaidia kuzuia kuzaana kwa virusi vya HIV mwilini. Hata hivyo hadi kufikia sasa kwa hakika hakuna chanjo dhidi ya virusi vya ukimwi, na hakuna dawa ya kutibu Ukimwi.
Lakini kwa jinsi matibabu yalivyoimarika katika miongo michache iliyopita, inamaanisha kwamba maisha ya baadhi ya watu walio na virusi vya Ukimwi yanaweza kurefushwa kwa miaka kadhaa.

Jinsi maambukizo ya HIV yanavyotokea.


Virusi vya HIV husambazwa kwa njia zifuatazo:


  • Kufanya ngono bila kinga.
  • Kuchangia sindano.
  • Mama aliyeambukizwa anaweza kumwambukiza mwanawe wakati wa uja uzito, kuzaa au kunyonyesha.
  • Kutangamana kwa damu au majimaji mengine ya mwili – mfano damu iliyo na virusi ikipenya kwenye jeraha au mchubuko.
  • Kuongezewa damu iliyo na virusi.

Huwezi kuambukizwa virusi kupitia:
clear.gif
20050714025819fears-of-catchin203.jpg
TAYO



  • Kupigana busu, kugusana, au kuamkiana kwa mikono.
  • Kutumia kwa pamoja vifaa vya kulia chakula.
  • Kukohoa au kwenda chafya.
  • Kuumwa na wadudu kama kunguni au mbu au wanyama.
  • kupitia Vidimbwi vya kuogelea.
  • Kula chakula kilichotayarishwa na mtu aliye na virusi vya ukimwi.

Dalili za virusi vya Ukimwi?

Watu wengi walioambukizwa virusi vya HIV, huwa hawafahamu kama wameambukizwa, kwa sababu hakuna dalili zinazotokea mara moja baada ya kuambukizwa.

Watu wengine hupata homa, vipele, maumivu ya viungo na uvimbe mgumu, lakini dalili hizi zinaweza kutokea kati ya wiki sita na miezi mitatu, baada ya kuambukizwa.

Hii ni kusema mara nyingi mtu aliyeambukizwa virusi vya ukimwi huenda asionyeshe dalili zozote, lakini tahadhari isipochukuliwa wanaweza kuwaambukiza watu virusi hivyo.

Matibabu ya kupunguza makali ya ukimwi


Bado hakuna tiba ya ukimwi, lakini kuna dawa spesheli ambazo zinaweza kusaidia waishio na virusi kwa kuimarisha afya hivyo basi kuongeza umri.

Nifanyeje kama nahisi nimeambukizwa virusi vya HIV?

Njia ya pekee ya kugundua kama una virusi vya hiv ni kwa kufanyiwa uchunguzi wa HIV.


Kufanyiwa uchunguzi wa virusi vya HIV si vigumu.


Unachotakiwa kufanya ni kutembelea kituo cha afya ya uzazi au (VCT). Hapa utapata ushauri – Kisha kama uko tayari kuendelea na uchunguzi huo, Utatoa damu ambayo inapelekwa kufanyiwa uchunguzi, kuona kama ina virusi. Matokeo hayachukui muda mrefu kutolewa, na waweza kuyasubiri.
clear.gif
20050714030021hiv-blood-test203.jpg
TAYO

Pengine itahijitaji uchunguzi kama mara mbili tatu hivi kubainisha kwa yakini iwapo mtu ameambukizwa au la. Hii ni kwa sababu inachukua kipindi cha kama miezi mitatu kuanzia siku ya kuambukizwa kwa virusi kuweza kuonekana wakati wa uchunguzi.

Pengine swala la kusubiri kwa mda huu ndiyo sehemu ngumu zaidi ya utaratibu wa kuchunguza virusi vya ukimwi, lakini kusubiri kuna maanisha kwamba utakuwa na uhakika wa matokeo.

Huduma za uchunguzi wa virusi vya ukimwi zinapatikana kwa urahisi. Wasiliana na daktari wako au tembelea tu kituo cha huduma za afya ya uzazi kwa vijana kama vile VCT. Kama una wasi wasi kuhusu kuhifadhiwa kwa siri zako, usiwe na hofu.

Katika kliniki nyingi kuna utaratibu kabambe wa kuhifandhi siri za wateja. Haya yote utafahamishwa na mshauri wako, ikiwemo ni vipi uchunzguzi huo unafanywa, vipi utapokea majibu na hata kupata ushauri zaidi wa jinsi ya kuishi na virusi iwapo kwa bahati mbaya itabainika kuwa tayari umeambukiza.

Kumbuka Kama umefanya mapenzi bila kinga, ama unafikiria kuna uwezekano wowote kwamba umeambukizwa virusi vya HIV ni vyema kufanyiwa uchunguzi huo.

Usiendelee kuhatarisha maisha yako na ya wengine - Uamzi wa kwenda kufanyiwa uchunguzi wa virusi vya HIV unaweza kuwa mgumu, lakini ni busara kwako na kwa wengine kutafuta usaidizi na ushauri wa kitaalam mapema iwezekanavyo.

Jinsi ya kuepuka maambukizi ya HIV.



  • Usijihusishe na ngono isiyo salama. Tumia kinga kila mara unapofanya ngono. Ukweli ni kwamba hakuna tendo la ngono lililosalama kwa asilimia 100. Kutumia kinga ni kupunguza hatari ya kuambukizwa virusi vya HIV ukimwi, na magonjwa mengine ya zinaa. Kwa hivyo daima tumia kondom na uyafuate maagizo kikamilifu.
  • Usichangie sindano.


Jinsi mtu anavyoambukizwa virusi vya HIV.


Mtu huambukiwa virusi vya HIV kama kirusi cha HIV kitaingia kwenye mishipa yake ya damu, wakati majimaji yake ya mwili yatatangamana na yae ya mtu ambae tayari ameambukizwa.
Virusi vya HIV hupatikana kwa wingi kweye majimaji haya ya mwili wa mtu ambae tayari ameambukizwa.


  • Damu
  • Manii/ Shahawa
  • Majimaji ya ukeni, ikiwa ni pamoja na hedhi
  • Maziwa ya matiti

Kwa kawaida majimaji mwengineyo ya mtu aliyeambukizwa kama mate, jasho na mkojo huwa hayana idadi kubwa ya virusi, kutosha kumwambukiza mwingine.

Ndio sababu maambukizo ya virusi vya HIV hutokea zaidi kupitia ngono na aliyeambuzwa, kuongezwa damu iliyo na virusi, mama aliyeathirika kumnyonyesha mtoto, au kuchangia sindano na mwathirika nk. Na hali yenginezo kama hizo.

Wakati wa kufanya ngono virusi hivyo huweza kupenya na kumwingia mtu mwengine kupitia maeneo nyororo ya ukeni, uumeni, sehemu ya kupitisha haja ndogo na hata njia ya kupitisha haja kubwa kwa wale wanaotumia njia hiyo kufanya ngono.

Kufanya mapenzi katika hali ya kuwa sehemu za siri ni kavu huongeza hatari ya kuambukizwa virusi vya HIV pamoja na magonjwa mengine ya zinaa.

Ngono kavu


Hii ni katika ile hali ya kufanya ngono ilhali eneo la ukeni halina ule unyevu nyevu wake wa kawaida. Hali hii huongeza hatari ya kuambukizwa virusi vya HIV na pia magonjwa mengine ya zinaa. Baadhi ya watu, wana itikadi kwamba wanawake wenye unyevu unvyevu mwingi ukeni, wanapenda mno kufanya ngono hivyo basi ni mzinzi.

Ukweli ni kwamba wanawake kimaumbile hutoa majimaji hayo wakati miili yao inajitayarisha kufanya mapenzi. "Kuwa tayari kwa mapenzi" hakumaanishi kwamba uko tayari kufanya ngono na mtu yeyote tu! Na kama

wanamke hayuko "tayari kufanya mapenzi", na akaendelea na kufanya ngono kavu, (iwe kwa kulazimishwa au kwa hiari) husababisha maumivu makali kwa mwanamke, na kumsababishia pia kupujuka hali inayozidisha hatari ya kupata maambukizo.

Kuwa na Virusi vya HIV ilhali u-mja mzito

Hatari kwa mtoto wako

Imekadiriwa kwamba asilimia kati ya 25 na 45 ya wanawake wenye virusi vya ukimwi, na wamepata pia mimba, wanaweza kuwaambukiza watoto wao ambao hawajazaliwa. Kwa hivyo wanahitaji ushauri wa kitaalam na dawa spesheli ili kupunguza hatari kuwaambukiza watoto wao.
Virusi vya ukimwi vinaweza kusambazwa kutoka kwa mama mja mzito aliyeambukizwa, hadi kwa mtoto tumboni kwa njia tatu:


  • Wakati mtoto yungali tumboni mwa mama, ambapo virusi vinaweza kusambaa kutoka kwa mama hadi kwenye nyumba ya uzazi.
  • Wakati wa kujifungua, ambapo mtoto anaweza kuingiwa na majimaji ya ukeni au majimaji mengine kutoka kwa mama.
  • Wakati wa kunyonyesha, ambapo virusi vinaweza kuambukizwa kupitia maziwa anayonyonya.

Uwezekano wa kumwambukiza mtoto, wakati wa kujifungua ni mkubwa zaidi kama mama ana ujazo mkubwa wa virusi mwilini mwake na kinga yake tayari ni dhaifu. Kabla ya wanamke aliyeambukizwa kupewa usaidizi wowote

wa kimatibabu kwanza atafanyiwa uchunguzi wa damu kuona kima cha virusi ndani ya mwili na hali yake ya kinga kwa ujumla.

Kama kinga yake itakuwa thabiti na idadi ya virusi ni ndogo mwilini, huenda hatahitaji dawa mpaka kipindi cha mwisho mwisho cha uja uzito yaani baada ya wiki ya 24.

Lakini kama ujazo wa virusi ni mkubwa na kinga mwili ni dhaifu, huenda italazimu kutumia madawa spesheli ya kupunguza makali ya ukimwi, mapema ili kupunguza uwezekano wa kumwambukiza mtoto.
Hatari ya kumwambukiza mtoto virusi vya ukimwi inaweza kupunguzwa hadi kufikia kati ya asilimia, moja na asilimia mbili tu kama hatua zifuatazo zitazingatiwa.


Kupata matibabu ya kupambana na virusi vya Ukimwi



  • Kwa sasa hivi hakuna ushahidi unaoonyesha kwamba kutumia madawa ya kupambana na makali ya virusi vya HIV (ARV), kunamletea madhara mama na mtoto ambaye hajazaliwa.
  • Madawa ya kupambana na virusi vya ukimwi haswa AZT, yamethibitishwa kupunguza kwa asilimia kubwa, hatari ya mama kumwambukiza virusi hivyo mtoto wake wakati wa uja uzito .
  • Kama tayari unatumia madawa hayo ya ARV, kisha ukagundua kuwa u-mja mzito, mfahamishe daktari wako haraka iwezekanavyo. Kwa kawaida huwa ni vyema kuendelea na matibabu, lakini huenda ikakulazimu kubadilisha madawa. Kwa vyovyote vile, usisite kutumia madawa hayo bila ya ushauri na daktari.
  • Siku hizi inawezekana kupewa madawa ya ARV, ili kukabiliana na virusi vya ukimwi, kupitia kwenye mishipa ya damu wakati wa uchungu wa kujifungua. Inaaminika kwamba kufanya hivyo kunapunguza hatari ya kumwambukiza mtoto virusi hivyo wakati wa harakati za uchungu wa kujifungua.
  • Pia, ni kawaida mtoto wako kupewa madawa ya kupambana na virusi vya ukimwi ili kuzuia uwezekano wowote wa kuambukizwa.

Kuzaa kwa njia ya upasuaji


  • Ukichagua njia ya kuzaa kupitia upasuaji, yaani caesarean section kwa kimombo, kwaweza kupunguza kwa asilimia kubwa, hatari ya mama kumwambukiza mtoto wake virusi vya ukimwi.
  • Utaratibu huu humkinga mtoto asiingiwe na damu ama majimaji mengine ya mwilini na pia inamaanisha kwamba hutapata maumivu yanayoandamana na uchungu wa mda mrefu wa uzazi, hali inayoaminika kuchangia uwezekano wa mama kumwambukiza mtoto.

Kutonyonyesha


  • Inapendekezwa kwamba wanawake wenye virusi vya ukimwi wasiwanyonyeshe watoto wao bali watumie maziwa mbadala, kama ya ngo’mbe au maziwa maalum ya unga kwa watoto.
  • Hilo pekee linasadikiwa kupunguza hatari ya mtoto kuambukizwa virusi
 
tatizo letu wabongo hatutaki kusikia isssue za ukimwi/ HIV lakini ngono bila kinga hatuachi tutaisha tushikilikiane kuutokomeza ukimwi tujiepushe na maambukizi hata kuambukiza haswa kwa kufuata misingi ya dini nje ya hapo ni janga kwa jamii zetu hata kwa taifa
 
FAHAMU HATUA TANO ZA HIV MWILINI



Leo tutachambua jinsi Virusi vya Ukimwi (VVU) ambavyo pia hujulikana kama HIV vinavyoingia mwilini na kujiimarisha. Ni somo gumu lakini tutajitahidi kuelezea ili kila mmoja aelewe. Kuna hatua tano ambazo hufanya Virusi vya Ukimwi kuweza kuingia ndani ya seli za binadamu na kuzaliana.
Virusi hao ambao pia kama nilivyosema hapo juu hujulikana kama HIV hutumia kiasili cha CD4 na wana kama njia ya kupita kwani baada ya mtu kupata maambukizi ya VVU kwa njia yoyote ile navyo kuingia ndani ya mzunguko wa damu wa mwanadamu kuna hatua tano hufuata.

Hatua ya kwanza
Virusi hawa wa HIV huanza maisha yao kwa kuunganisha ncha za protini zilizojitokeza kwenye utando wake zijulikanazo kitaalamu gp120 kwenye vipokeo vinavyoitwa kitaalamu receptors, vya CD4.
Muunganiko huu wa CD4 na gp120 hubadilisha kabisa umbo la gp120 hali ambayo huruhusu HIV kujipachika katika vipokeo visaidizi yaani co-receptors vilivyoko kwenye utando wa juu wa seli ya binadamu.
Vipokeo hivi visaidizi hujulikana kitaalamu chemokine receptors CCR5.
Baada ya hapo, aina nyingine ya ncha za protini zilizo kwenye utando wa nje wa HIV ziitwazo gp41 nazo hubadilika umbo lake, na hivyo kuwezesha HIV kuachia aina nyingine ya protini inayoitwa fusion peptide kwenye seli nyeupe ya damu (white bood cells). Protini hii huwezesha utando wa juu wa HIV kuungana na utando yaani cell membrane wa seli nyeupe inayoshambuliwa.

Hatua ya pili
Hatua hii HIV kupenya na kuingia ndani ya seli nyeupe ya binadamu kitendo kinachojulikana kitaalamu kama Viral Penetration/Fusion. Kitendo cha kuungana kwa utando wa juu wa HIV na ule wa seli nyeupe husababisha kutokea kwa tundu katika utando wa seli nyeupe.
Kitendo hiki huwezesha kibeba vinasaba cha HIV na kusukumwa moja kwa moja mpaka ndani ya seli nyeupe ya binadamu kupitia kwenye tundu hilo.

Hatua ya tatu
Hao HIV hujivua gamba tendo ambalo hujulikana kama uncoating na husaidia kuruhusu vinasaba vyake pamoja na vimeng'enyo muhimu kwa ajili ya kubadilisha vinasaba vya RNA kwenda DNA, hatua ambayo husababisha kuzaliana kwa virusi wengine wapya.


Hatua ya nne
Vinasaba vya RNA hubadilika na kuwa DNA ya virusi kwa kutumia kimeng'enyo cha reverse transcriptase. Kitendo hiki hujulikana kitaalamu kama reverse transcription kwa sababu hutokea kinyume na vile kinavyotakiwa kutokea kwa viumbe hai wengine.
Kwa kawaida, kitendo cha transcription hufanyika kwa kubadilisha DNA kuwa RNA na si kinyume kama chake. Baada ya DNA hii ya virusi kutengenezwa ndani ya ute wa seli ya binadamu, hubadilishwa kuwa aina fulani ya RNA iitwayo messenger RNA, yenye uwezo ya kuamrisha seli kufanya kazi mbalimbali kulingana na mahitaji ya mwili.
Baada ya hapo aina hii ya RNA yenye uzi mmoja hubadilishwa tena kuwa DNA ya virusi yenye nyuzi mbili. Matukio haya yote hufanyika ndani ya ute unaoitwa kitaalamu cell cytoplasm wa seli nyeupe ya damu.

Hatua ya tano
Hatua hii kitaalamu huitwa integration. Baada ya HIV kufanikiwa kubadilisha RNA yake kuwa DNA, ni lazima sasa HIV aingize DNA hii mpya kwenye DNA ya seli ya damu ili aweze kudhibiti kikamilifu na kuamrisha matendo na kazi zote za seli nyeupe ya damu ili iweze kufanya inavyotaka HIV.



FAHAMU HATUA SITA ZA HIV MWILINI-2











TUNAENDELEA kuchambua hatua sita za tatizo la Ukimwi (HIV) kwenye mwili wa binadamu, endelea.
Ndani kabisa ya kiini au capsid kuna aina tatu tofauti za vimeng'enyo au enzymes ambavyo ni muhimu mno kwa ajili ya uzalianaji wa HIV. Vimeng'enyo hivyo hujulikana kama reverse transcriptase,

integrase na protease. Pamoja na vimeng'enyo hivyo, capsid pia ina nyuzi mbili za vinasaba vya RNA ambavyo husaidia kurithisha tabia za vinasaba za HIV kutoka kizazi kimoja kwenda kingine.
Ikilinganishwa na makundi mengine ya viumbe hai yenye vinasaba vingi, HIV ina vinasaba vya aina tisa tu.
Vinasaba vitatu viitwavyo gag, pol na env hufanya kazi ya kubeba taarifa inayohitajika kuunda protein muhimu kwa ajili ya virusi wapya watakaozaliwa.

Vinasaba sita vilivyobaki vinavyojulikana kama tat, rev, nef, vif, vpr na vpu hufanya kazi ya kubeba taarifa ya kuthibiti uzalishaji wa protini inayohusika na kuthibiti uwezo wa HIV kushambulia seli mpya za binadamu, kuzaa virusi wapya au kusababisha magonjwa mbalimbali kwa binadamu.

CD ni kifupi cha maneno ya Kingereza ya cluster of differentiation. Hii ni aina mojawapo ya kiasili kilichoundwa kwa protini na mafuta (yaani glycoprotein) ambacho kinapatikana juu ya uso wa seli nyeupe za damu zijulikanazo kama T helper cells, regulatory T cells, monocytes, macrophages, na dendritic cells ambazo kazi yake kubwa ni kupambana na maradhi mbalimbali. Zimepewa jina la CD4 kuonesha kuwa ni aina ya nne katika kundi la viasili vya CD.
Vilipewa jina hilo mwaka 1984 ingawa viligunduliwa mwishoni mwa miaka ya sabini.

Kazi kubwa za CD4 ni kusaidia baadhi ya chembe nyeupe za damu kupambana na wadudu waenezao maradhi mbambali katika mwili wa binadamu.
Kwa kutumia sehemu yake ambayo ipo ndani ya seli za T cell, CD4 husaidia kukuza na kupitisha taarifa kutoka kwenye vipokeo vilivyopo kwenye T Cell.

Taarifa hii huzitaadharisha chembe nyeupe za damu kujiandaa kupambana na vijidudu vilivyovamia mwili kwa kutumia njia mbalimbali.Source.GBP

Ukiwa na Swali lolote Waweza kuwasiliana na mimi kwa kubonyeza hapa.Mawasiliano
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom