Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,359
Hapa naandika nikiwa nimenuna sana, hata dakika tatu hazijaisha kuna mpuuzi kaingia kwenye banda langu hapa sabasaba wakati nampatia maelezo kuhusu shughuli za kampuni yangu kajisevia Blackberry yangu. Naomba msaada wa jinsi ya kuilock kuiblock ikibidi kuilipua kabisa ili asijekufanikiwa na lolote.