Hatua za haraka zinahitajika, Wafuatao wameihujumu CCM

Wapi NTUNTEMEKE na wenzako???Salaam nyingi toka kwa JOHN MREMA.Jitokezeni tuendelee kuzijadili zile milion 19 za Feasibility Study
 
hakika watanzania tunakomaa kisiasa tumechoshwa na kudanganywa kwa kupewa pipi kama watoto na huku tunahujumiwa haki zetu. Sauti ya watu ni sauti ya Mungu.
 
Pole sn mwandishi. Ujue kuwa watz wamedanganywa kwa pilau zaidi ya miaka 50 sasa. Hivyo kamwe hawatadanganyika tena.
 
Hata mlie machozi ya damu imekula kwenu..

Tafuteni sababu zoote ila nyie hamkubaliki katika jamii iliyoelimika..

CCM ni popo:-*

Mwambieni jaji atengue matokeo Arusha mjini tuwaoneshe kwa mara nyingine...
 
Ndugu zangu wana JF,
Awali ya yote naomba niwapongeze kwa ushindi KIDUCHU mlioupata kule ARUMERU, kiukweli sikupenda CDM iibuke washindi ila nilipenda CCM ishindwe. Ninakiri kuwa kuna tatizo kubwa sana tokea kura za maoni, nguvu ya ushawishi na pesa nyingi zilisababisha SIOI ashinde ilihali kulikuwa na viashiria vya rushwa!

Kuna sababu nyingi zilizopelekea CCM kutoshinda uchaguzi ule ambazo kiukweli zimenikosesha raha na hata kutype kwenye keyboard nashindwa!

1) Lusinde alipunguza idadi ya kura Arumeru kwa kiasi kikubwa, ukitumia lugha mbaya kama zile usitegemee mtu akuchague, inshort ningekuwa na maamuzi katika CCM lusinde ningemnyang'anya kadi ya chama.

2) Waliokuwa ndio wanaongoza kampeni hawakuweza kutoa sababu ni kwa nini muda wote ambao jimbo lilikuwa chini ya CCM na kero mbali mbali hazikushughulikiwa na leo wanaahidi kuzishughulikia, Mfano: Ni ukweli usiopingika mtu kama MKAPA hawezi kuwashawishi wana ARUMERU kuwa atamshauri Kikwete wakati alikuwa Rais na hakuweza kutekeleza matatizo hayo. Mi nafikili ilitakiwa kwa wanaccm kukiri makosa na kuonyesha ni kwa vipi watasahihisha makosa yao, Lakini baada ya kutumia njia hii wakajikuta WANAROPOKWA na kutumia lugah zisizo na staha.

3) Kutumia watu wenye kashfa na wanaoongoza katika makundi katika CCM tena hao hao wanajulikana kuwa hawapo katika kundi moja kama OLE SENDEKA na LOWASA, hii ilidhihirisha Unafiki wa aina yake, Haiingii akilini watu hawa ambao kila kukicha wanaitana mafisadi na kushutumiana mbele ya camera za waandishi leo wanapanda jukwaa moja. Tatizo kubwa ni kuwa wanayoyasema na wanayotatenda ni tofauti tena kwa nyuzi 180[SUP]0[/SUP](Diferent Direction)

4) UVCCM hasa wa arusha nao hawakwepeki katika hili, katika kufikili wanawakomoa wale waliopinga uteuzi wa sioi kwa kuwa unanuka harufu ya rushwa na wengine waliotilia shaka juu ya uteuzi wa sioi wao wakatumia nguvu na wingi wa kura zao kumchagua Sioi lilikuwa kosa la kihistoria.

5) Hakukuwa na kauli ya pamoja katika kampeni za CCM kila aliyepanda jukwaani alisema yake, in short ilikuwa kama watu wamechanganyikiwa.

Conclusion:
Huu ni uthibitisho kuwa LOWASA na kundi lake hawakubaliki katika jamii, na CCM isije kufanya kosa 2015

Hongera CDM ingawa ushindi wenu unatokana na UJINGA na UDHAIFU wa CCM

Hapo kwenye Bluu ulikua unaamaanisha nini??
Ishinde NRA???!!!
 
anguko la vyama dhalimu huanza na wao wenyewe kuchanganyikiwa. kumbuka mnara wa Babeli. Udhalimu uliofanywa na BM, EL na mzee wa usingizi ktk nchi hii hauwezi kuwaacha salama. kazi ndo imeanza
 
Wewe ni mnafiki huna lolote, hayo makosa yenu unatwambia sisi ili iweje, nenda kazungumze huo ujinga wenu kwenye vikao vyenu na hili ndilo anguko la CCM. Tayari katika bara la Africa tumeshuhudia vyama kadhaa vikongwe vikianguka na sasa ni zamu yenu buriani CCM.
by cZg wa ETU: nilifikir we hv grown up politically kumbe bado kuna bendera fuata upepo ka weye? Haya funguka kakosea nn? Acha majungu tujenge Tz 'kama shida ni panya rangi ya paka isiwe kikwazo'
 
We ni mjinga wa wajinga na ingefaa upeleke ujinga wako hukooo kwa wajinga wenzio.
 
Sipendi mtu anayetoa analysis mwishoni, ulikuwa unapost mambo tofauti jana tu hapa sikuwahi kuona ukitahadharisha haya unayosema leo. Kwa kifupi unajichanganya.
 
Hongera! nadhan DS Haikupita kama koz tu bali koz ya ukomboz hongera saana na hiyo ndo "political evaluation"
 
Think time have changed and for Ruling Party, the people wants changes!

Nadhani kwa sasa watanzania wako busy kutafakari na kutafuta chama m-badala wa RP, wakikipata na wakawa na imani na matumaini hata kidogo kuhusu hilo, hakika hawatasita kufanya mabadiliko. Ndiyo maana this time Arumeru wamehimili uongo, dhihaka na vitisho kibao ikiwemo viongozi wa serikali kuahidi kutoshirikiana na mp mpya kama hatoki RP.

Ukitazama ktk Afrika, vyama vingi vilivyopigania uhuru (si vyote), vilikuwa na lengo kuu la kuleta uhuru tu basi, havikuwa na mipango thabiti ya wataongoza nchi zao namna gani pindo wakipata huo uhuru, and think in part this explains as why nchi nyingi incl Tz zimukuwa zikirudi nyuma kimaendeleo tangu tupate uhuru (chunguza quality ya elimu kwa mfano).

Kwa hapa kwetu tatizo ni kubwa, kwa maana kwamba achilia mbali ukweli kuwa bado tuko na RP kilicholeta uhuru, lakini pia tuko na Gorvenment ambayo, 'mtandao' ulijipanga kwa miaka kumi au zaidi kwa mikakati na mbinu za namna ya kuingia magogoni, lakini hawakujipanga kwamba wakishika dola watatawala namna gani (hapa, I stand to be collected)

Tazama ushindi wa Arumeru, why watu wengi wanashangilia ambao hawamjui Nassari, hawako arumeru wala hawana kadi za chama cdm? Chunguza mitaani, majumbani, maofisini private na ofisi za serikali, leo ilikuwa shangwe tupu! Why?! Tazama vijana kuanzia tuseme umri wa miaka 45 kurudi chini mpaka miaka 9 why wanapenda mageuzi? Ktk hali ya namna hii, nini nafasi ya RP by 2015 should Wananchi finds who they can trust?! Siasa za hadaa, zitasaidia RP na kuivusha by then? Kukiwa na vijana wengi wanaotimiza sifa za kupiga kura kila kukicha? Kuna future ya chama cha siasa kama hakuna vijana wanaojitoa kwa moyo na si ki maslahi? Wadanganyika wataendelea kukubali ahadi hata after 50yrs of independent? What didn't happen to KANU? Changes are inevitable. The best way is to get prepared.
 
Kweli wewe mpiga kelele! hizo percent umezitoa wapi? wewe ndio NEC? Nina wasiwasi furaha inakupelekea kufikilia hata yasiokuwepo!
Unaweza kunifafanulia kwa nini NEC ilizuia matumizi ya fomu iliyokuwa inaruhusu raia asiye na kadi ya kupiga kura lakini yumo katika oradha ya wapigakura wanaotambuliwa na NEC wakati sheria inaruhusu matumizi ya fomu hiyo ?
 
Kifo chenu ndio kimeanzia hapa nyie wana Magamba kwa hyo mtatafuta pa kumbilia mara baada ya uchaguzi 2015
 
Back
Top Bottom