Uchambuzi wako una mapungufu na hizo ni hisia zako tu. Ukweli ni kuwa CCM hainaminiki tena mbEle na ndani ya mioyo ya Watanzania ambao mulikukwa munawafanya Wadanganyika kwa vipesa vyenu vya wizi. Huko Mwanza na Rungwe nako alikuweko huyo Lusinde, Mkapa na wengineo uliowataja? Kauli mbiu ya Mwanza - Kirumba ni ilikuwa Vijana wote vaaeni nguo za CCM na hakikisha mnakula Kwelikweli vipesa vyao na siku ya siku lala kwa CDM. Nyimbo za Jana Mwanza Viwanja vya Furahisha katika kumtangaza mshindi ilikuwa ".... tumekula pesa zenu na kura tumewanyima.... na bado Kikwete" Wakojacko