MNYISANZU
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 7,048
- 1,102
Hatma ya mbunge wa jimbo la Meatu kupitia Chadema mh. Meshack Opulukwa itajulikana may 5 mwaka huu. Hii ni kufuatia kesi ya kupinga ushindi wake iliyofunguliwa mahakamani na aliyekuwa mgombea wa CCM bwana Salum. May 5 ndio siku rasmi ya jaji kutoa maamuzi.
Source: Radio Free Africa, kipindi cha matukio.
Source: Radio Free Africa, kipindi cha matukio.