dah.me nilijua nimeguswa peke yng..kumbe wako wengi.ili tuchukulieni poa.watanzania wengi ndo 2livyo.tuna ubinafc.
ubarikiwe sana kwa nia yako. Kuliko huyn jama @kitreala2m anatushisha tujadili kitu ambacho hatukijuwi yeye alifanya ni siri.
binmgen, its nt as u thnk, ungekuwa unajua how hard t is kumpatia kila m2 usingesema nimefanya siri. Ebu muulize mganyizi atakujibu.
umesema kweli. tatizo wamesahau maana ya 'where we dare talk openly' sa kwanini ufiche? kimsingi mi mwenyewe imenichoma kwani kunawatu walitaka tuwapm ili watupe maujanja PM zao zikawa zimeblock, wakaunblock lakini pm zetu zikatupwa kapuni.
so vizuri tushee.
this is jamiifurums.
n way so issue zikipatikana nyingine tupeane so ubinafc
dah.me nilijua nimeguswa peke yng..kumbe wako wengi.ili tuchukulieni poa.watanzania wengi ndo 2livyo.tuna ubinafc.