Hatimaye ZANTEL internet wameachia baada ya kubana kwa muda mrefu

Profesa

JF-Expert Member
Oct 28, 2010
905
624
Nimegundua hivi karibuni wadau sina limits tena za kusubiri wikinndio ni recharge Moderm yangu. Ingawa sipati zile 2G kama mwanzo, ila sijaona shida kwenye matumizi, inachukua karibu wiki kwa 500MB ninazopata kwa kiasi cha shs kama 7000. Ninachofurahia ni speed! Ile ya 2 GB wadau vipi mmeipatia jibu?
 
Yawezekana ni mimi tu sijui, ila zikiisha ninaweza charge mda wowote, ila kweli ni ghali maana 1GB kwa wiki inakuwa 16000/=. Ila nisaidieni labda nilichakachuliwa, nilinunua moderm ya Airtel, nikagundua inaingizwa line yoyote ya Airtel sio kama hii ya Zantel ambayo tayari iko fixed nI 3G, sasa naombeni mnijuze kama Airtel wana 3G nannitaipataje, spidi vipi?
 
Yawezekana ni mimi tu sijui, ila zikiisha ninaweza charge mda wowote, ila kweli ni ghali maana 1GB kwa wiki inakuwa 16000/=. Ila nisaidieni labda nilichakachuliwa, nilinunua moderm ya Airtel, nikagundua inaingizwa line yoyote ya Airtel sio kama hii ya Zantel ambayo tayari iko fixed nI 3G, sasa naombeni mnijuze kama Airtel wana 3G nannitaipataje, spidi vipi?

Airtel wanayo 3g ila integemea wapi upo, sio maneo yote inapatikana.
 
sasatel ni wazuri zaidi maana1.5GB kwa wiki ni tshs.7500 then kifurushi kikiisha kabla ya wiki moja unasitisha tu! Na ku-recharge upya.NA SPIDI YAO NI NZURI tatizo ni upatikanaji wa vocha zao hazijanea sana mtaani
 
Back
Top Bottom