majanga
WAPENDWA HAYA NI MAISHA YA WATU,NAOMBA ALIYEFANIKISHA KUUSOMA ATUPE Taarifa unahusu nn?
Ndg yangu inaelekea hujui kabisa mfumo wa serikali, tofautisha mamlaka ya ajira na upandishwaji wa vyeo na nidhamu na upandishwaji wa mishahara.
Mwenye dhamana ya kutangaza nyongeza ya mishahara serikalini ni Waziri wa ofisi ya Rais management ya Utumishi wa Umma, na anayetoa waraka ni katibu wake Mkuu, katika kifuatilia bajeti ya serikali umewahi hata sikia waziri wa elimu au hata Tamisemi katangaza nyongeza ya mshahara?
Mifumo wa sasa mapendekezo ya kuongeza mishahara hujadiliwa kisekta na kupeleka mapendekezo kwa Waziri mwenye dhamana ili wajadiliane na Waziri wa fedha kabla ya kutangazwa ili baadae utolewe waraka kwa waajiri.
Ukisoma document hii tunayosema ni waraka, ni maelekezo ya mkoa kwa walimu kuandikisha majina wale ambao wanafikiri madaraja yao yamekosewa, hivyo hata mleta uzi ametupotosha wote hapa.
Nawasilisha