Hatimaye yametimia walimu kucheka huu ndiyo waraka mpya.

Zeddicus Zu'l Zorander

JF-Expert Member
Aug 25, 2011
797
929
Huu ndio waraka mpya,hauonekani vizuri kwa sababu nimetumia simu, ilikuwa ni kwenye ofisi za watu.

Kwa ufupi wamerekebisha waraka wa 2002 ambao serikali imekiri kuwa ulikuwa na matatizo mengi, kwahiyo wametoa waraka mpya ambao madaraja ya walimu yatabadirika aliyekuwa TGTS C ataenda TGTS E, aliyekuwa TGTS D ataenda TGTS F, kwahiyo utaona wanarusha madaraja mawili .
Pia umesema hakuna malimbikizo yatayolipwa kutokana na waraka huu..
Pi walimu wa Sayansi wameongezewa vidato vitano kwenye madaraja yao.. yaani TGTS F5 kwa mwalimu wa sayansi mwenye degree anayeanza kitu kama 850,000/= au zaidi sina uzoefu sana na haya mambo ila wakongwe wanajua.
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1371919596.090498.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1371919596.090498.jpg
    30.2 KB · Views: 4,696
  • ImageUploadedByJamiiForums1371919613.074034.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1371919613.074034.jpg
    27.1 KB · Views: 3,522
  • ImageUploadedByJamiiForums1371919638.351116.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1371919638.351116.jpg
    28.5 KB · Views: 3,529
  • ImageUploadedByJamiiForums1371919654.119541.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1371919654.119541.jpg
    22.1 KB · Views: 3,050
Na hizi...
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1371919794.877660.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1371919794.877660.jpg
    28.8 KB · Views: 1,550
  • ImageUploadedByJamiiForums1371919810.096006.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1371919810.096006.jpg
    28.8 KB · Views: 1,389
Jamani jukwaa la utani na joks si lipo

"To know the enemy is half the victory"
 
hii ni kimyakimya mzee kuwasahaulisha na kuwafunga midomo. na wAlivokuwa wasahaulifu watasahau yote yaliyopita. SWALI: HAYO MALIMBIKIZO YASHAOTA MBAWA?
 
Kwa mbali nimesoma ni ya mkoa wa Kilimanjaro siyo mkuu ama?

Ila kama ungeweza hebu tuwekee mambo flani muhimu yaliyomo ili tuipate vyema
 
walimu wanashughulikiwa mambo yao mkoa wa Kilimanjaro Same Rombo Mwanga Hai na Moshi? huu ni waswasi wa kwanza kabisa juu ya huu waraka.

Kwa namna nilivyoicheki japo kwa tabu maandishi madigo, ni kwamba waraka uliopendekezwa na kutumika tangu mwaka 2002 ulikuwa umekosewa na huu uliopendekezwa ndio sahihi. Maafisa wanaohusika wamehakikisha wanaelezea kwamba hakuna malipo ya mshahara uliopungua baada ya kubadilishwa hayo madaraja mapya yanayotakiwa yawasilishwe kwenye mamlaka zinahusika mapema 15/6/2013

Hainabainisha mshahara huo mpya uanze lini. nilivyoelewa mimi.
 
Huu waraka ni watanzania wote ila haujasema unaanza mi hadi nione salary slip ndo ntaamini
 
Nyie mnaosoma hebu semeni basi kunani humo ndani

Kwa ufupi wamerekebisha waraka wa 2002 ambao serikali imekiri kuwa ulikuwa na matatizo mengi, kwahiyo wametoa waraka mpya ambao madaraja ya walimu yatabadirika aliyekuwa TGTS C ataenda TGTS E, aliyekuwa TGTS D ataenda TGTS F, kwahiyo utaona wanarusha madaraja mawili .
Pia umesema hakuna malimbikizo yatayolipwa kutokana na waraka huu..
Pi walimu wa Sayansi wameongezewa vidato vitano kwenye madaraja yao.. yaani TGTS F5 kwa mwalimu wa sayansi mwenye degree anayeanza kitu kama 850,000/= au zaidi sina uzoefu sana na haya mambo ila wakongwe wanajua.
 
Back
Top Bottom