nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Mi nimekuwa hesitant kutumia hizi dawa...hivyo sijawahi kutumia maishani...na hizi shuhuda ndo kabisa zinaendelea kunitisha.
Na nimeweza kuwa na idadi ya watoto niwatakao (wawili) na ku enjoy sex life...maana nasikia hizo dawa zinaondoa hamu kabisa.
Na nimeweza kuwa na idadi ya watoto niwatakao (wawili) na ku enjoy sex life...maana nasikia hizo dawa zinaondoa hamu kabisa.