Hatimaye wanafunzi wote wa UDOM kitivo cha sayansi na jamii wamerudishwa nyumbani

Siwalaumu kugoma for impact yao huonekana, hua nawalaumu how selfish wako
- huwezi ukisikia wanagoma kwa ajili ya matatizo ndani ya jamii..
 
Umenikumbusha kunji la UDSM 2007 tulivyogongwa kisha tukapewa 9Mukandara Principles ili uweze kurudi chuo...Tanzania bila migomo haiwezekani!
 
Umenikumbusha kunji la UDSM 2007 tulivyogongwa kisha tukapewa 9Mukandara Principles ili uweze kurudi chuo...Tanzania bila migomo haiwezekani!

Umenikumbusha mbali mkuu, Mkandara kaidiwa nafasi na rais wakina Prof.Chachage wakagoma kulingana na ile kampuni kuweka vigezo vinavyompendelea Mkandara.
 
Mbona inakuwa ni rahisi kuwaondoa wanafunzi kuliko hao akina Mulacha na kikula wanaoiba pesa ya chuo, wanaojenga majengo mabovu na kupokea mishahara miwili bila hata aibu?

Au ndo maana akina Lowasa hawastuki na lolote kwa kujua ni nchi ya wabovu na waliowazima hawaondoki?
 
Umenikumbusha mbali mkuu, Mkandara kaidiwa nafasi na rais wakina Prof.Chachage wakagoma kulingana na ile kampuni kuweka vigezo vinavyompendelea Mkandara.
Acha uongo wewe. Prof Chachage waligomea mfumo uliokuwa unaelekea kuwabeba kina Prof Mshana akiwa kama Chief Admin ambaye ndiye aliyeongoza vikao vya kutowa tends ya kumpima na kumpendekeza. Katika hili hata Prof Luhanga alisimama pamoja na Prof Chachage na vijana wake Sussane Lyimo, Halima Mdee na Zitto ambao walipeleka mapambano hadi bungeni. Matokeo yake mchakato ukabaduloshwa na ndipo Prof Mukandala alipopata nafasi.
 
Mbona inakuwa ni rahisi kuwaondoa wanafunzi kuliko hao akina Mulacha na kikula wanaoiba pesa ya chuo, wanaojenga majengo mabovu na kupokea mishahara miwili bila hata aibu?Au ndo maana akina Lowasa hawastuki na lolote kwa kujua ni nchi ya wabovu na waliowazima hawaondoki?
Ni pesa zipi hizo walizoiba?
 
Haki yetu bado haitapotea. Najiuliza hawa wanachuo hawakuwa wanadai wali au chapati, isipokuwa kama UDOM na serikali wana mpango thabiti wa kuandaa watalaamu huwezi andaa wasomi bila practicals. Wanataka wahitimu bila practical sokoni washindaneje na wengine?

Viongozi acheni kubaki mnajinadi tu kwa majengo. Mbunge wa ccm na hata jk siku haiendi bila udom mdomoni mwao. mlidhani kuwa na chuo kikuu kikubwa kuliko vyote tanzania ni majengo yenye rangi nyeupe? Dunia na hata masononeko ya watanzania hawa yatawaumbua.

Everything in Tanzania is politics, si TCU, HELSB wala BUNGE
 
Hawa vijana si ndiyo wanaipenda sana CCM na hata kudiriki kuutangazia umma kuwa vyama vya upinzani haviiwezi CCM
 
kwanini chuo kifungwe wakati jana Naibu waziri wa TAMISEMI alisema bungeni kuwa serikali imeshaandaa fedha kwa ajili kuwalipa wanafunzi wa UDOM hela za field?
 
Mwisho watafunga vyuo vyote, pale MUHAS nao walikuwa na mgomo sijui wamefikia wapi...
 
Masahihisho: Mkuu hiyo ni college moja tu inaitwa college of humanities and social sciences (CHSS) na siyo college mbili kama ulivyoandika.
 
Mkuu nimeiona thread yako. Kwa kiasi fulani umeongea ukweli ila umepotosha pia. Unapofahamisha chuo kikuu cha dodoma chafungwa upo sahihi. Tatizo ni moja. Mpaka sasa Kampasi za UDOM zilizofungwa ni mbili. Chuo cha Mawasiliano ya ya Computer(INFORMATICS) na leo kimefungwa chuo cha Sayansi ya Jamii na Lugha. Kama ulivyoeleza. Mgomo huu pia ulihusisha chuo cha Sayansi Asilia na Hisabati-Natura Sciences and Mathematics! Ukweli ni kuwa Chuo cha Elimu na Chuo cha Afya na Tiba havijafungwa. Wanafunzi wapo na jumatatu wanaendelea na mitihani. Mengine yote uko sawa! Nawasilisha mkuu!
 
Uongozi wa chuo kikuu cha dodoma umekifunga chuo cha sayansi za jamii kuanzia leo na kuwataka wanafunzi wote wa college hiyo kuondoka chuoni hapo ndani ya masaa mawili kufuatia mgomo uliodumu kwa siku tatu.

Hayo ndio madhara yakufuata mawazo ya watu wa MAGWANDA, chuo kimefungwa, hela hamna sasa hapo sijui mtaishije . Ngoja mie nitafute msichana mrembo wa kuwa nae leo kwani najua hivi sasa wanapatikana kwa bei cheap
 
Siwalaumu kugoma for impact yao huonekana, hua nawalaumu how selfish wako
- huwezi ukisikia wanagoma kwa ajili ya matatizo ndani ya jamii..
Na wewe upo selfish kwa sababu hata siku moja hatujawahi kukusikia ukigoma kwa ajili ya matatizo ndani ya jamii
 
Hivi kweli we ni genious brain? We ni Hopeless Taburalasa! Empty brain! Wasaidie dada acha ufataki!
 
Back
Top Bottom