Nyerererist
JF-Expert Member
- Oct 1, 2007
- 438
- 5
Mkuu heshima mbele, uzinzi wa Kubenea kama upo kweli hauna mahusiano yoyote na ishu za Rostam na kutufanyia ujanja taifa letu, kama ni ishu ya uzinzi sidhani kama kuna anayeweza kutupa jiwe kwa yoyote bongo, halafu besides hiyo ishu ina thread yake,
Kubenea is doing a lot kwa ajili ya taifa letu, na kuna tunaomheshimu na kumuombea maisha marefu na aendelee na kazi yake nzito ya kujitoa mhanga kwa taifa letu,
Ni Mungu peke yake anyeweza kumlipia!
mkuu siku zote nakukubali sana, naungana na watanzania wote kumsaidia kubenea kwa njia yoyote itayokua ndani ya uwezo wangu, otherwise Rosham Akibhai bora anyamaze kama kina Lowasa wanavyofanya