kajukeg
Member
- Jul 22, 2010
- 39
- 0
Timu ya taifa ya wanawake ya Nigeria jana usiku imefanikiwa kuingia katika fainali za FIFA za kombe la dunia baada ya kuifunga timu ya taifa ya Colombia bao moja kwa bila.
Nigeria sasa watacheza fainali tarehe moja mwezi August siku ya J2 na Timu ya taifa ya Ujerumani.
Naamini hizi ni Habari njema kwa wapenzi wa soka ukanda wa africa.
Mungu ibariki Africa, Mungu Ibariki Nigeria.
Nigeria sasa watacheza fainali tarehe moja mwezi August siku ya J2 na Timu ya taifa ya Ujerumani.
Naamini hizi ni Habari njema kwa wapenzi wa soka ukanda wa africa.
Mungu ibariki Africa, Mungu Ibariki Nigeria.