UmtwaAlumbwagwe
Member
- May 24, 2012
- 54
- 10
Lile zoezi la uzinduzi wa ofisi ya CDM Kidugala limekamilika kwa ufanisi mkubwa, watu wengi wamekabidhi kadi za CCM na kuchua za CDM akiwepo ADELINA CHAULA aliyekuwa katibu Wa UWT kata ya Kidugala. Nyimbo amewataka vijana kusimama imara kulinda haki, na amewataka wasiwe na maneno mengi wala vurugu na pale wanapoona haki inanyang'anywa wapeleke malalamiko yao kwa maandishi kwani serikali hufanya kazi kwa. Maandishi"serikali works on paper" tena barua hizo zipelekwe kwa dispatch ili mwisho wa siku wasiwageuke