Hatimaye Thomas Nyimbo akamilisha uzinduzi wa ofisi ya CHADEMA Kidugala Njombe

May 24, 2012
54
10
Lile zoezi la uzinduzi wa ofisi ya CDM Kidugala limekamilika kwa ufanisi mkubwa, watu wengi wamekabidhi kadi za CCM na kuchua za CDM akiwepo ADELINA CHAULA aliyekuwa katibu Wa UWT kata ya Kidugala. Nyimbo amewataka vijana kusimama imara kulinda haki, na amewataka wasiwe na maneno mengi wala vurugu na pale wanapoona haki inanyang'anywa wapeleke malalamiko yao kwa maandishi kwani serikali hufanya kazi kwa. Maandishi"serikali works on paper" tena barua hizo zipelekwe kwa dispatch ili mwisho wa siku wasiwageuke
 
tuchape kazi makanda, ila nasikitika sana, kiongozi wa chadema unayejiamini unashindwaje kushawishi wanachama wetu na kujenga ofisi za chama chetu?
 
Lile zoezi la uzinduzi wa ofisi ya CDM Kidugala limekamilika kwa ufanisi mkubwa, watu wengi wamekabidhi kadi za CCM na kuchua za CDM akiwepo ADELINA CHAULA aliyekuwa katibu Wa UWT kata ya Kidugala. Nyimbo amewataka vijana kusimama imara kulinda haki, na amewataka wasiwe na maneno mengi wala vurugu na pale wanapoona haki inanyang'anywa wapeleke malalamiko yao kwa maandishi kwani serikali hufanya kazi kwa. Maandishi"serikali works on paper" tena barua hizo zipelekwe kwa dispatch ili mwisho wa siku wasiwageuke


Hakuna kulala hadi kipenga cha kuanzisha hitimisho. peoplessssssssssssssssssssssss P
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom