Jana tarehe 30 april Ndg Subhash Patel kupitia kwa wakili wake Julius Lugazya kawafungulia kesi wahariri na magazeti yao ya nipashe na guardian,wakurugenzi wa radio uhuru na ITV pamoja na mwenyekiti wao Mengi kwa kashfa za kumuita fisadi papa na kudai alipata mchuchuma kwa mizengwe.Anawataka waombe radhi ndani ya siku saba na wamlipe fidia ya shs bilioni kumi
Huyu Subhashi Pateli anajiamini kwasababu anajua kwamba ana"support" ya vigigi wakubwa serikalini ambao pia ni mafisadi wenzie........
Lakini....aliyewaweka hawa mafisadi madarakani ni nani..?
Kwa hiyo kama ni sisi....basi na tuendelee hivi hivi....mwishowe...wapiga kura wote watafahamu utajiri wa nchi unapelekwa wapi.....na matokeo yake......kuangushwa kwa mafisadi wote pamoja na mtetezi wao mkuu...Halafu tuone hawa masubhashi watatetewa na nani...!!!
My Vision...