Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Kama hao Papa wanakupandisha hasira je Nyangumi?Mie hasira zinanipanda sana kuona hawa mafisadi papa wa kiasia wanakoroma ndani ya nchi yetu....yaaani..wee acha tu....Hawa jamaa hata Idd Amini aliona kwamba wanadhoofisha uchumi wa nchi yake na kuamua kuwafukuzia mbali....tatizo lao wakichuma nchini kwa ufisadi ..wanahamishia mali zao nje ya nchi...wala nchi haifaidiki na mali zao.....wananiudhi......