Hili ni ongezeko la asilimia 13.3%,kutoka shilingi 7,500/= hadi shilingi 8,500/=source ni http://www.heslb.go.tz/docs/guideline/guidelines_2015_16.pdf ukurasa wa kumi na mbili,njooni tujadili wakuu,ongezeko hili ni haki kweli katika kipindi kigumu kama hiki cha mfumuko wa bei?