Granta
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 4,811
- 6,052
Jogoo ganihuwezi juwa labda kajogooo hakaliii asubuh...
Jogoo ganihuwezi juwa labda kajogooo hakaliii asubuh...
Jogoo wa kuku una swali lingine?Jogoo gani
Jogoo gani
asanteee mkuuu @wembeeJogoo wa kuku una swali lingine?
Ha ha ha tungeshajua make hadi celebrities wenye vibamia wanafahamika ha ha ha chezea wabongohuwezi juwa labda kajogooo hakaliii asubuh...
Duh kweli uzuri wa mtu uko machoni kwa mtu uyu hata tukibaki wawili tu duniani na nikasikia sauti ya Mungu kua uyo ndio mkeo nitasema hapana baba naomba uninyakue tu nije nianze maisha mapya uko uko khaaaa.Haya mambo ya kufata fata wenzie alikua anakosa muda wa kukaa na dem wake hadi akaachwa ha ha ha na mtoto mzuri tuerny View attachment 322901
Ubaya wake nini jameniDuh kweli uzuri wa mtu uko machoni kwa mtu uyu hata tukibaki wawili tu duniani na nikasikia sauti ya Mungu kua uyo ndio mkeo nitasema hapana baba naomba uninyakue tu nije nianze maisha mapya uko uko khaaaa.
Iyo mirangi rangi yake naona ndio amekuibia uyo chukulia buuu baaa uyu hapa kasahau mirangi rangi na hajajibinua hakika utataja jina la mkuu wa kaya la utotoni,aka kabayaaa.Ubaya wake nini jameni
Huyu dem chombo weyeeeIyo mirangi rangi yake naona ndio amekuibia uyo chukulia buuu baaa uyu hapa kasahau mirangi rangi na hajajibinua hakika utataja jina la mkuu wa kaya la utotoni,aka kabayaaa.
Jecha kapita na picha zote aseeee maana picha nehiii babu jiiiii.
Usiulize sana Mama!Chakaramu kivipi?
Lazma niulize huo uchakaramu ni upiUsiulize sana Mama!
Yameisha.Lazma niulize huo uchakaramu ni upi
Huyu alikua mweusi tiiii
Carolight na maji yake ndo habare ya mjiniHuyu alikua mweusi tiiii
kweri yaan yaan sa hv kuvaa nusu uchi kalibia na kuonesha kinena na kujibinuabinua makario na kuongeza na kushonea maweaving na mawigi ndo uzuri dah wanawake wamepotea kabusa hakika dunia inakwenda ukingoniMzuri wapi huyo, au kwasababu ya hiyo picha ya makalio? Ndio maana wadada hawataki kuvaa nguo kwasababu mmezoea kuwapa sifa sio zao.
Ila kajitahidi kutumia mkorogo swafi naona hadi takko limekua jeupeHuyu alikua mweusi tiiii
Ana sura nzuri, macho, mdomo mizuri. Shape na makalio macho yangu yanamuona mzuri mawig na nusu uchi umeona wewekweri yaan yaan sa hv kuvaa nusu uchi kalibia na kuonesha kinena na kujibinuabinua makario na kuongeza na kushonea maweaving na mawigi ndo uzuri dah wanawake wamepotea kabusa hakika dunia inakwenda ukingoni
Duh kweli uzuri wa mtu uko machoni kwa mtu uyu hata tukibaki wawili tu duniani na nikasikia sauti ya Mungu kua uyo ndio mkeo nitasema hapana baba naomba uninyakue tu nije nianze maisha mapya uko uko khaaaa.
Si haba unaweza kulumangia kamekaa uzuri.