Elections 2010 Hatimaye Ritta Mlaki abwaga manyanga jimbo la Kawe....

Mkuu Pasco na Shalom,

Kwa kipimo halisi cha Mbunge - Kwa mtizamo wangu Halima Mdee bado sana - hajakomaa hata kidogo. Hawezi kujenga hoja na pia anao mtizamo wa kati kwa kila suala analolizungumiza (nimemwona mara kadhaa kwenye bunge na hata TV shows esp TBC)

Tusiwe mashabiki wa kupeleka vijana bungeni - tukaishia kupeleka "magarasha" - Nyinyi kwenye vyama vyenu mnafahamu ni vijana wapi wazuri ambao wanaweza kuleta tofauti.

BTW: Habari nilizonazo ni kwamba CCM wanamsimamisha Kippi Warioba kwenye jimbo la Kawe - huyu naye kwangu si mkomavu wa kutosha katika nyanja ya siasa na uchumi.
,
Obuntu na wengine ombao wako obsessed na age,
umri sio kigezo, bali uwezo, Mdee ni mbunge, Kipi ni Mhe. Diwani, unataka ukomavu gani tena huo?.

Julius Kambarahe aliongoza Taa akiwa late 20's akaunda TANU at 33 na kuchukua uhuru at less than 40!, sasa uzoefu aliutoa wapi?.

Vijana nendeni vijana, wakati wenu ni sasa!.
 
Obuntu, Halima si kwamba hajakomaa.... ni kwamba namna anavyoongea ni ile yetu ya watoto wa kitaa!!! trust me she is more polished and better than most of the old guards mule bungeni

its just how she speaks, but her formulation of hoja is not bad at all

Unless uwe una very high expectations ambazo huwezi pata kwa nchi hii
 
Wazungu wanasema "good riddance". Kama kuna mtu alipaswa kuitwa Zero ni mbunge wetu wa Kawe! Yaani huyu mama alikuwa likizo siku zote.
 
Huyu mama siku zile naibu waziri viwanda nilisikia alikuwa na nyodo sana kwa wabunge wenzie hata mawaziri.Kumbe zilikuwa nyodo za bure,utendaji sifuri.Lakini bora amejigundua kuwa uwezo hana na kuamua kupisha wengine,kuliko wale ving'ang'anizi,miaka kibao bungeni huku majimbo yao yanaongoza kwa umasikini.
 
Sasa mama Mlaki na Malecela nani mzee??? i gues na wengineo wangeiga mfano wake.....Kuna watu pale katika mjengo wamepafanya kama rest room zao.....PUMZIKENI jamani.
 
Mbunge anayemaliza muda wake kwa jimbo la kawe Ritta Mlaki ametangaza kutogombea tena nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu ujao mwezi Oktoba. Mlaki mmoja wa wabunge wasiokuwa na michango yoyote katika vikao vya bunge ametangaza azma yake hiyo ya kutogombea tena nafasi hiyo ili kuwapisha watanzania wengine wenye uwezo wa kufanya kazi kugombea. Mimi binafsi nampongeza sana kwa uamuzi wake huo kwani wananchi wengi wa jimbo la kawe tulishamchoka mama huyu ambaye katika vipindi vyote viwili vya miaka 10 hakuna jambo lolote la maendeleo alilofanya katika jimbo hilo. Namtakia kila kheri katika maisha yake....

Source: Gazeti la Mtanzania
 
atapewa UDC wilaya ya korogwe hivi karibuni, ili wakubwa wakienda ziara mkoani tanga, basi wapate mahali pa kupumzika, yule wa lushoto si mnamkumbuka eeh,, chakuraaaaa.
 
Duh bongo kweli bila ngono haiwezekani, hata vyeo sasa vinagawiwa wakati wa kumegana
 
Looks interesting, thinking about joining the race for Mlaki's constituency......any support from you guys?...mean serious business here!
 
Naogopa ninapofikiria kuwa mtoto wake Mama Ritha Mlaki ama mumewe anaweza kusoma haya!!! Vivyo hivyo kwa Bettie.
 
atapewa UDC wilaya ya korogwe hivi karibuni, ili wakubwa wakienda ziara mkoani tanga, basi wapate mahali pa kupumzika, yule wa lushoto si mnamkumbuka eeh,, chakuraaaaa.
Unamsema Betty Mkwassa
 
Kuna mema yoyote ya kukumbukwa aliyotenda wakati akiwa mbuge au ndo kaona uwezekano wake kuchaguliwa tena haupo ndokatangaza kuachia ngazi mapema ili asiaibike
...alijua kwa kuwa hajafanya kitu na kuna watu walidiriki kumwambia wazi kabisa kuwa akigombea lazima apige pua chini ndio maana kaamua kujitoa mapema!! aende tu hakuna tofauti ya kuwepo au kutokuwepo kwake!!:mmph::mmph:
 
Ikiwa ndiyo hivyo, basi waongeze bajeti ya wizara ya afya. issues za ARV

Wizara yenyewe imejaa watumiaji kibao, labla wapitishie Angaza. Jamaa pale hawaogopi kusema waziwazi. Huu ugonjwa ni janga la Taifa kama walivyoutangaza lakini hawauogopi tena. Ukimuona mkeo anashiriki sana mambo ya chama jua si riziki, hakuna ethics kabisa kwenye mambo ya vyama na hasa kile chama chenye watu wanaoweza kukupatia nafasi ya ulaji. Watu wanajuana nani ni wa nani na wakati huohuo watu hao ni wana ndoa.
 
Back
Top Bottom