Hatimaye rais wa Tunisia asalimu amri mbele ya nguvu ya umma!

Safi sana kwa watu wa Tunisia hii ndio uhalisia wa kile nguvu ya watu yaweza fanya, Watch out you so called Leaders in Tz
Hasira za watu zitawatafuna tumesha choka na ukora wenu.
 
Sisi watanzania tunasubiri nini lakini?madudu yote yanayofanywa na serikali ya jk,ugumu wote wa maisha bado tuko kimya tuu....!Hivi haya yote bado yameshindwa kututia hasira na kuingia barabarani kuandamana mpaka kieleweke kama tunisia?Ebu watz tuache woga,tuache ubinafsi nchi inaangamia hii...tumshinikize jk arekebishe hali hii ama ajiuzuru atuaichie nchi yetu...eboo!
 
Dictator Nchini Tunisia Ashakimbia, aliyebaki ni Mkwere Fisadi. Haya majitu lazima yaondolewe na nguvu ya umma. Baada ya Dowans, IPTL, na Mauaji ya Arusha, Kikwete Must go

Chanzo CNN International
 
Kikwete kama umeshindwa kujipima mwenyewe sasa tunasema TOKA katika ofisi yetu, huwezi kujipachisha kutuongoza Tanzania kimabavu ondoka.
 
kwa speed tunayoenda nayo lazma tutamtoa tu huyu NUNDA pale ikulu....................solidarity forever,jamani qwatz tufanye hivo
 
It's thought that wikileaks may have been an inspiration to the discontented citizens!
 
Baada ya kuvumilia miaka 23 ya udikteta (Tanzania 47), uvunjwaji wa haki za binadamu na ukosefu wa utawala bora, la mwisho lililowafanya vijana wa Tunisia kusema wamechoka ni kupandishiwa bei bidhaa za mahitaji muhimu - mchele, sukari, mkate, mafuta -
Watanzania tumefanyiwa kama haya mara ngapi na bado tupo "Ndiyo Mzee". Ni wakati wa nguvu ya umma kudai klicho chao, nchi yao. Imani yangu hata hawa wauwaji wa sasa (polisi) watasalimu amri na kuungana na wananchi kwani wao pia ni wahanga wa unyanyaswaji wa wananchi.
MUNGU IBARIKI TANZANIA
MUNGU WALAANI VIONGOZI WALAFI.
 
burn, burn, burn, kikwete must go!!
burn, burn, burn, kikwete must go!!
burn, burn, burn, kikwete must go!!
burn, burn, burn, kikwete must go!!
 
Msuya kasema " uswahili umejaa serikalini" let's get rid of this mkwere.
 
Tunisia: President Zine al-Abidine Ben Ali
forced out
Police fire tear gas at protesters outside the interior ministry

Tunisia's President Zine al-Abidine Ben Ali has stepped down after 23 years in power, amid widespread protests on the streets of the capital Tunis.
In a televised address, Prime Minister Mohammed Ghannouchi said he would be taking over from the president.
A state of emergency was declared earlier, as weeks of protests over economic issues snowballed into rallies against Mr Ben Ali's rule.
Unconfirmed reports say Mr Ben Ali and his family have left Tunisia.
The reports suggest that the deposed president is looking for a place of asylum, with French media saying that French President Nicolas Sarkozy has turned down a request for his plane to land in France.
Earlier, police fired tear gas as thousands of protesters gathered outside the interior ministry.
The protesters have put their bodies on the line, and many people have been killed. Tonight, they ignored the curfew to celebrate on the streets.
At the end of a dramatic day, President Ben Ali fled, no longer able to hold back the growing tide of public discontent and anger with his regime.
Now, the protesters will want to see the fruits of their demonstrations.
They won't settle for meagre reform, they won't settle for the same elite remaining in power. They're very happy that the president has gone, but they don't like the regime that surrounded him, and they'll want his cronies out as well.
Doctors say 13 people were killed in overnight clashes in Tunis, and there are unconfirmed reports that five people have been killed in protests on Friday outside the capital.
A state of emergency decree bans gatherings of more than three people and imposes a night-time curfew. Security forces have been authorised to open fire on people not obeying their orders.
President Sarkozy said he stood side-by-side with the citizens of Tunisia, his country's former protectorate.
"Only dialogue can bring a democratic and lasting solution to the current crisis," said Mr Sarkozy in a statement.
US President Barack Obama condemned violence against Tunisian citizens "peacefully voicing their opinion in Tunisia".
In a statement, he said: "I applaud the courage and dignity of the Tunisian people.
ick to play

Click to play

Prime Minister Mohammed Ghannouchi: 'I assume responsibilities of the president'
"I urge all parties to maintain calm and avoid violence, and call on the Tunisian government to respect human rights, and to hold free and fair elections in the near future that reflect the true will and aspirations of the Tunisian people."
Mr Ghannouchi, 69, a former finance minister who has been prime minister since 1999, will serve as interim president.
In an address on state television, he promised to "respect the law and to carry out the political, economic and social reforms that have been announced".
Witnesses described how soldiers had begun taking down portraits of Mr Ben Ali - an ubiquitous sign of his authoritarian rule - from billboards and on the walls of public buildings around the country.
Stranded tourists
A BBC Arab affairs analyst, Magdi Abdelhadi, says Mr Ben Ali's demise may rattle the entire post-colonial order in North Africa and the wider Arab world.
Fall from power
Earlier, Mr Ben Ali - who had said in a TV address on Thursday night that he would relinquish power in 2014 - announced that he was dismissing the government and dissolving parliament, and that new elections would be held within six months.
Human rights groups say dozens of people have died in recent weeks as unrest has swept the country and security forces have cracked down on the protests.
The protests started after an unemployed graduate set himself on fire when police tried to prevent him from selling vegetables without a permit. He died a few weeks later.
UK travel agents have scrambled to pull hundreds of tourists out of the country, and companies including Thomson First Choice and Thomas Cook have cancelled flights scheduled to leave for Monastir on Sunday.
The UK, the US and France are among the countries advising against non-essential travel to Tunisia.
"The situation is unpredictable and there is the potential for violence to flare up, raising the risk of getting caught up in demonstrations," the UK Foreign Office said in its latest travel advisory.
In his speech on Thursday night, Mr Ben Ali, who had governed Tunisia since 1987, said there was "no presidency for life" in Tunisia and that he did not intend to amend the constitution to remove the upper age limit for presidential candidates - a move that would have allowed him to stand for a further term in 2014.
The former president, who earlier this week blamed the unrest on "terrorists", also said he felt "massive regret" over the deaths of civilians in the protests.
Mr Ben Ali, 74, was only Tunisia's second president since independence from France in 1956. He was last re-elected in 2009 with 89.62% of the vote.
TIMELINE
• 17 Dec: A graduate sets himself on fire in Sidi Bouzid over lack of jobs, sparking protests
• 24 Dec: Protester shot dead in central Tunisia
• 28 Dec: Protests spread to Tunis
• 8-10 Jan: Dozens of deaths reported in crackdown on protests
• 12 Jan: Interior ministry sacked
• 13 Jan: President Ben Ali promises to step down in 2014
• 14 Jan: President dissolves government and parliament, then steps down

Source: BBC News - Tunisia: President Zine al-Abidine Ben Ali forced out
 
Ndugu wana JF,

Kuna taarifa kwamba rais wa Tunisia aliyekaa madarakani kwa zaidi ya miaka 23 ameachia ngazi kwa shinikizo la waandamanaji. Wananchi walishachoka na maisha magumu yaliyosababishwa na ukosefu wa ajira, huku ufisadi ukiwa umeshamiri. Rais Ben Ali alikuwa ameweza kuingoza nchi hiyo kwa udikteta wa hali ya juu, huku wananchi wakiwa wanaogopa hata kumtaja kwa jina. That's how bad it was.

Siku za nyuma niliwahi kutembelea mji wa Tunis. Tukiwa tunatembezwa katika maeneo mbali mbali ya mji huo kuna jengo tuliambiwa kwamba ilikuwa cathedral ya kanisa katoliki lakini serikali ilikuwa imelibadilisha matumizi na kulifanya theatre. Nilipoulizwa kwa nini, kila mtu kwenye aligeuka kuniangalia bila kunipa jibu, mi mwenyewe nikagundua kosa langu. Lakini sasa ndo huyo ameondoka na tayari amesha kimbilia nje ya nchi.

Ni mengi ya kuzungumza kuhusu Ben Ali lakini madhumuni ya post hii ni kuomba wanajamii mchangie endapo viongozi wetu wanaweza kujifunza lolote katika matukio ya aina hiyo.
 
Tukiandamana si ndio tunauawa tu km njiwa...lakini alama za nyakati zitauondoa tu utawala dhalimu muda ukifika
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom