Hatimaye nguvu ya umma wa wachangiaji washinda sakata la mifuko ya pension

Sungurampole

JF-Expert Member
Nov 17, 2007
984
205
Jana tumeshudia serikali ikisalimu amri kuwa itarudisha sheria gereji ili ifanyiwe marekebisho na kuafiki na kilio cha wachngiaji wamifuko ya hifadhi ya jamii juu ya fao la kujitoa. Nimeona tena nguvu ya umma ikishinda. Wachangiaji bila kujali itikadi, dini wadhifa na tofauti nyingine walijitokeza kupinga sheria hii na mwisho tumeshinda mpaka hatua hii na tunaamini hii ni mpaka watakaporidhia kufanya marekebisho tunayaoyataka.

Kumbe tukiamua tunaweza japo wako waliokosoa uelewa wetu wa dhana ya mifuko ya hifadhi ya jamii - tunawasamehe tunajua walikuwa wanaganga njaa kwa kutetea kila kilichopita kama sheria hata baada ya kuona hakifai. Tujifunze katika hili wenye sheria ni sisi na zipo kwa ajili yetu na siyo sisi kwa ajili ya sheria

Nawasilisha
 
Jana tumeshudia serikali ikisalimu amri kuwa itarudisha sheria gereji ili ifanyiwe marekebisho na kuafiki na kilio cha wachngiaji wamifuko ya hifadhi ya jamii juu ya fao la kujitoa. Nimeona tena nguvu ya umma ikishinda. Wachangiaji bila kujali itikadi, dini wadhifa na tofauti nyingine walijitokeza kupinga sheria hii na mwisho tumeshinda mpaka hatua hii na tunaamini hii ni mpaka watakaporidhia kufanya marekebisho tunayaoyataka.

Kumbe tukiamua tunaweza japo wako waliokosoa uelewa wetu wa dhana ya mifuko ya hifadhi ya jamii - tunawasamehe tunajua walikuwa wanaganga njaa kwa kutetea kila kilichopita kama sheria hata baada ya kuona hakifai. Tujifunze katika hili wenye sheria ni sisi na zipo kwa ajili yetu na siyo sisi kwa ajili ya sheria

Nawasilisha
Na ili tumtoe kabisa mkoloni CCM inabidi kuendeleza mshikamano huo. Baada ya kuona dalili za mwisho wa utawala wake, mkoloni CCM ameanza kupenyeza watu wa kutugawa kwa makundi ya kidini, ujana nk. Tukatae hila hizi chafu ili 2015 tumzike mkoloni huyu na vijibwa vyake.
 
Hifadhi za jamii za nchi zilizoendelea tofauti na huku kwetu,cha kushangaza ssra wanacopy nje wanakuja kupaste huku kwetu,tena wanapaste vipengele vinavyomnyonya mtanzania(withdrawal benefits) huku wakivi-delete vile vinavyomfaidisha mtanzania(unemployment benefits) huu ni ujinga,sheria sio msaafu wala biblia kusema kwamba haibadiliki,wamefanya kosa tumewasamehe ila msije kurudia ujinga huu tena!!
 
Nakishauri kile kidada kijiuzulu tu, manake kimeshaprove failure kuongoza SSRA..
 
Hatuna Serikali wa Bunge, wote ni wasanii 2 hawa. ilikuwaje ukapelekwa bungeni na ulipitaje mswaada kandamizi bungeni? Ikifika wakati wa kuomba kura wajibu haya maswali, wezi wakubwa hawa
 
hatuna serikali wa bunge, wote ni wasanii 2 hawa. Ilikuwaje ukapelekwa bungeni na ulipitaje mswaada kandamizi bungeni? Ikifika wakati wa kuomba kura wajibu haya maswali, wezi wakubwa hawa
fashisti nduli serikali ameshindwa. Tuendeleze mshikamano. Hawa wameingia woga pia baada ya kuona kina mnyika wanakusanya signature maofisini
 
Hifadhi za jamii za nchi zilizoendelea tofauti na huku kwetu,cha kushangaza ssra wanacopy nje wanakuja kupaste huku kwetu,tena wanapaste vipengele vinavyomnyonya mtanzania(withdrawal benefits) huku wakivi-delete vile vinavyomfaidisha mtanzania(unemployment benefits) huu ni ujinga,sheria sio msaafu wala biblia kusema kwamba haibadiliki,wamefanya kosa tumewasamehe ila msije kurudia ujinga huu tena!!

mkuu hawa jamaa usiwape kauli za kuwasamehe kirahisirahisi hivyo. wameshatunyanyasa mno hawa, sehemu za migodini kule Mara binadamu na mifugo tunadhurika na makemikali ya migodini, tukiwaambia wanaanza kutudhihaki. in-short hawa magamba wameshatusulubu vya kutosha hasa hizi awamu za pili, tatu na nne. yaani ni wadhulumaji na wanyang'anyi wa mchana kweupe. wanajijari wao tu na washikaji zao. hawa sio watu wa kusamehe kirahisi. tuwatoe kwanza madarakani halafu ndio tufikirie kuwasamehe.
 
Jana tumeshudia serikali ikisalimu amri kuwa itarudisha sheria gereji ili ifanyiwe marekebisho na kuafiki na kilio cha wachngiaji wamifuko ya hifadhi ya jamii juu ya fao la kujitoa. Nimeona tena nguvu ya umma ikishinda. Wachangiaji bila kujali itikadi, dini wadhifa na tofauti nyingine walijitokeza kupinga sheria hii na mwisho tumeshinda mpaka hatua hii na tunaamini hii ni mpaka watakaporidhia kufanya marekebisho tunayaoyataka.

Kumbe tukiamua tunaweza japo wako waliokosoa uelewa wetu wa dhana ya mifuko ya hifadhi ya jamii - tunawasamehe tunajua walikuwa wanaganga njaa kwa kutetea kila kilichopita kama sheria hata baada ya kuona hakifai. Tujifunze katika hili wenye sheria ni sisi na zipo kwa ajili yetu na siyo sisi kwa ajili ya sheria

Nawasilisha

Ndugu yangu Sungurampole! Naunga mkono hoja asilimia zaidi ya 100
 
The people can decide if they want!!!
Jana tumeshudia serikali ikisalimu amri kuwa itarudisha sheria gereji ili ifanyiwe marekebisho na kuafiki na kilio cha wachngiaji wamifuko ya hifadhi ya jamii juu ya fao la kujitoa. Nimeona tena nguvu ya umma ikishinda. Wachangiaji bila kujali itikadi, dini wadhifa na tofauti nyingine walijitokeza kupinga sheria hii na mwisho tumeshinda mpaka hatua hii na tunaamini hii ni mpaka watakaporidhia kufanya marekebisho tunayaoyataka.

Kumbe tukiamua tunaweza japo wako waliokosoa uelewa wetu wa dhana ya mifuko ya hifadhi ya jamii - tunawasamehe tunajua walikuwa wanaganga njaa kwa kutetea kila kilichopita kama sheria hata baada ya kuona hakifai. Tujifunze katika hili wenye sheria ni sisi na zipo kwa ajili yetu na siyo sisi kwa ajili ya sheria

Nawasilisha
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Jana tumeshudia serikali ikisalimu amri kuwa itarudisha sheria gereji ili ifanyiwe marekebisho na kuafiki na kilio cha wachngiaji wamifuko ya hifadhi ya jamii juu ya fao la kujitoa. Nimeona tena nguvu ya umma ikishinda. Wachangiaji bila kujali itikadi, dini wadhifa na tofauti nyingine walijitokeza kupinga sheria hii na mwisho tumeshinda mpaka hatua hii na tunaamini hii ni mpaka watakaporidhia kufanya marekebisho tunayaoyataka.

Kumbe tukiamua tunaweza japo wako waliokosoa uelewa wetu wa dhana ya mifuko ya hifadhi ya jamii - tunawasamehe tunajua walikuwa wanaganga njaa kwa kutetea kila kilichopita kama sheria hata baada ya kuona hakifai. Tujifunze katika hili wenye sheria ni sisi na zipo kwa ajili yetu na siyo sisi kwa ajili ya sheria

Nawasilisha

Barbs to Irene Kissaka and Kudos to the masses revolutionary solidarity; We had nothing to loose But chains and shackles!
The SSRA chief has miserably failed the first test of public confidence, we have to keep her in our sights lest she tries another scheme because her masters are still the same; crafty and demonic! The writting is on the wall Irene, we are watching!
 
Sasa hivi nguvu zote watazipeleka kwenye vita. Utaambiwa hela nyingi imetumika kupigani mpaka kule Malawi. Ili mradi tu... Kwani wanashindwa nini kuweka maelewano kwanza kabla ya kusonga mbele?
 
Shame kwa Irene na watu wote walionyuma ya huo ufisadi. Hawafai kuliko tafsiri yoyote inayoweza kutumika.
 
Hatuna Serikali wa Bunge, wote ni wasanii 2 hawa. ilikuwaje ukapelekwa bungeni na ulipitaje mswaada kandamizi bungeni? Ikifika wakati wa kuomba kura wajibu haya maswali, wezi wakubwa hawa

Bob wewe ni mgeni na bunge letu na jinsi wingi wa wabunge unavyotumika vibaya kupitisha miswaada hata ile ya hovyo?
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom