tete'a'tete
JF-Expert Member
- Feb 10, 2010
- 472
- 62
hehehehe!
aafu wee teteatete mbona kila nikiarenji tuonane tuzigide ndovu hizo unanikimbia?
UNAFANYA MAKUSUDI EEH?!
mimi hata saa hizi nishajipanga,we niambie tu ni sinza maeneo gani!leo nitakaa sana huko sinza kuna msiba wa jamaa angu...!Mkuu tupange tukutane wapi ila ujipange kisawasawa!! mi nafuta kreti mbili za ndovu...
okay okay!CAN CIRRO...Loo! weekend itakuwa poa tukutane pale Sun Cirro unaonaje si unajua kesho kazini mkuu!!