magistergtz
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 282
- 56
Baada ya Maige kumtuhum Nape kwa kushindwa kutimiza wajibu wake wa uenezi, hatimaye namwona nape kaanza kufanya kazi.
Nape ameanza kuiga staili za CHADEMA kwa kuzunguka nchi kueneza chama. Alianzia Dar sasa yuko Iringa.
Tofauti japo na mikutano ya CHADEMA, nape hukumbana na zomeazomea zaidi na hamna watu wa maana walio tiyari kuhamia ccm.
Nape ameanza kuiga staili za CHADEMA kwa kuzunguka nchi kueneza chama. Alianzia Dar sasa yuko Iringa.
Tofauti japo na mikutano ya CHADEMA, nape hukumbana na zomeazomea zaidi na hamna watu wa maana walio tiyari kuhamia ccm.