bogota the king
Member
- Feb 3, 2012
- 77
- 48
Habari za uhakika kabisa ni kwamba Mkuu wa chuo cha mkwawa iringa amepewa barua ya kukabidhi ofisi ifikapo Jumatatu asubuhi sambamba na wasaidizi wake 2! Na hii inatokana na tuhuma nzito za matumizi na usimamizi mbovu wa mali za chuo hiko ikiwa ni pamoja na wizi wa pesa za mikopo kwa wanafunzi kutoka LOAN Board zinazomgusa moja kwa moja mkuu huyo! Tayari PCCB imewahoji kwa kirefu watuhumiwa wote wa wizi huo! Na hii inaashiria hatua moja ya kuwafikisha mahakamani wahusika wotze!
Source! Mtu wa ndani katika chombo cha maamuzi mkwawa.
Source! Mtu wa ndani katika chombo cha maamuzi mkwawa.