Hatimaye mkenya amewatambua wenzake aliyeshilikiana nao kumteka Dr.Ulimboka. wakiwa wamefariki

Kumbe na mahabusu wanaruhusiwa kutambua maiti! Na kwa yeye lengo lake nini na nani kampeleka hapo? Na hao waendaje wote saba zenj kwa wakati mmoja? Mh bora mtu kasema alfu lela u lele....
 
Kwa kweli kama watafikia hatua ya kuunganisha matukio hivyo watakuwa wajanja. mchezo wote utakuwa umeishia hapo. nchi yetu imakuwa ya kisanii!
 
wana jf Ni tetesi tu lakini yawezekana kusemwa.
Hatimaye yule kijana anayesemekana ametokea nchi ya jirani (kenya) anayehusishwa na tukio la utekajinyala wa Dr.Ulimboka, ameweza kutambua alioshirikiana nao kwenye utekaji huo wakiwa wamepoteza maisha kwenye ajari ya meli ya MV STAGAT iliyotekea siku ya jumatano.
Habari zinasema kuwa watekaji hao walikuwa wanakimbilia mafichoni Zanzibar, lakini kwa bahati mbaya au nzuri hawakufanikiwa upepo mkali uliosababisha kuzama kwa meli, vijana hao hawakuweza kuokoka kwenye dhoruba hiyo. Aliowatambua ni vijana 7 nakukili kuwa ndio aliokuwa nao siku ya tukio.
My take, Hizi habari hazijathibishwa lakini kwaniijuavyo Tanzania ya leo na jinsi ya hili tukio lilivyotokea yote yanawezekana, tuwe nasubira ndugu
zangu, hakuna linaloshindikana.
Nawasilisha.


kawadanganye waliolala, we nikirundu.
 
jaman hili jamaa limetokea wap huyu aliye post atafutwe akamatwe anatuletea ujinga humu brai marufuku weeeeeee
 
Hii sio tetesi, but a silly joke. Kwamba marehemu wote (RIP) walipelekwa mahabusu na jamaa akapick 7 among all of them. Poor you!
 
Unaweza kuwadanganya watu fulani kwa wakati fulani...lakini huwezi kuwadanganya watu wote kwa wakati wote...
 
tumia akili kudanganya usitumie makalio ivi wewe na hao wahusika wa ulimboka kumteka mnamahusiano acha uzeeeeeeeeeeeee
 
wana jf Ni tetesi tu lakini yawezekana kusemwa.
Hatimaye yule kijana anayesemekana ametokea nchi ya jirani (kenya) anayehusishwa na tukio la utekajinyala wa Dr.Ulimboka, ameweza kutambua alioshirikiana nao kwenye utekaji huo wakiwa wamepoteza maisha kwenye ajari ya meli ya MV STAGAT iliyotekea siku ya jumatano.
Habari zinasema kuwa watekaji hao walikuwa wanakimbilia mafichoni Zanzibar, lakini kwa bahati mbaya au nzuri hawakufanikiwa upepo mkali uliosababisha kuzama kwa meli, vijana hao hawakuweza kuokoka kwenye dhoruba hiyo. Aliowatambua ni vijana 7 nakukili kuwa ndio aliokuwa nao siku ya tukio.
My take, Hizi habari hazijathibishwa lakini kwaniijuavyo Tanzania ya leo na jinsi ya hili tukio lilivyotokea yote yanawezekana, tuwe nasubira ndugu zangu, hakuna linaloshindikana.
Nawasilisha.

Ondoa hekaya za Abunuasi hapa, kama huna watu wa kuwasimulia hadithi za kuburudisha, kamusimulie nyanya au babu yako, kudadadeki.
 
Hii itakuwa Part II ya DVD ya afande Kova! Iweje huyo mkenya aende kuona wahanga wa ajali na kuwatambua aliokuwa nao? Hii yote ni komedi ya Kova.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom