Hatimaye Mjomba Afikishiwa Ujumbe......

Amavubi

JF-Expert Member
Dec 9, 2010
30,145
13,216
Baada ya Kupata Nauli Hivi Ndivyo Mjomba alivyofikisha Ujumbe.......... IMG_1140.JPG
 
Nilipenda event yenyewe. Mjomba kaambiwa yeye analima wapi
 
Naona Mkuu wa Kaya amekula pozi kama mtu aliyevimbirwa makande!
 
baada ya kupata nauli hivi ndivyo mjomba alivyofikisha ujumbe..........View attachment 48458

hivi mjomba atakumbuka kweli kile kilichompeleka mjini? Ujumbe aliokusudia kuupeleka ameusahau mchagoni. Nakumbuka siku anaenda alivaa lubega, sasa ameshafika huko kavalishwa kapelo kasahau kila kitu! Hakumbuki tena maisha ya kijijini na jinsi wapwa na ndugu zake tunavyotaabika!
 
Ujumbe wa kupangwa huu.....maandamano ya kupinga serikali ya kusindikizwa na Polisi badala ya kuzuiwa sijawahi kuyasikia Tanzania hii
 
hivi mjomba atakumbuka kweli kile kilichompeleka mjini? Ujumbe aliokusudia kuupeleka ameusahau mchagoni. Nakumbuka siku anaenda alivaa lubega, sasa ameshafika huko kavalishwa kapelo kasahau kila kitu! Hakumbuki tena maisha ya kijijini na jinsi wapwa na ndugu zake tunavyotaabika!
kapelo imefunika akili yake yooote
 
hivi mjomba atakumbuka kweli kile kilichompeleka mjini? Ujumbe aliokusudia kuupeleka ameusahau mchagoni. Nakumbuka siku anaenda alivaa lubega, sasa ameshafika huko kavalishwa kapelo kasahau kila kitu! Hakumbuki tena maisha ya kijijini na jinsi wapwa na ndugu zake tunavyotaabika!

tumemuona na ******
 
Back
Top Bottom