Hatimaye Mbeya kumetulia

1. Hiyo ndiyo ilikuwa inatakiwa toka mwanzo, na si kufanya biashara bila mpango, kwa hiyo hapo inaonyesha wameufyata.

2. Watawachiwa kwa dhamana na watafikishwa mahakamani kama kawaida, kama unabisha kamuulize Lema.

3. Wanahamu ya kwenda India wakaonane na ndugu zao, si unawajuwa?


Hahahahahah, hali ilitulia mapema sana na Kandoro alishaongea na waandishi wa habari kabla Sugu kufika huko (na picha zipo hapahapa JF), Ustake ncheke.

FaizaFoxy naona hujasoma vizuri halafu hujaelewa kabisa hivi aliyefyata mkia ni nani kati ya hao vijana na serilikali. hivi umeelewa kuwa wameambiwa warudi kuendelea na shughuli zao mahali ambapo walikataliwa.
halafu angalia blog ya MBEYA YETU UTAONA JINSI PEOPLES POWER ILIVYO NA NGUVU. KUWA MKWELI DADA YANGU. USINGEKUWA MZEE NINGEKUOA.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Kuna track yake moja anasema ...'leo nakuchana,acha nikuchane..'ni vzuri hii track awapelekee maaskari waisikilize make Sugu ni nouumaaaaaaaa
 
Viongozi wa Mbeya Wanazidi kutudhihilishia tu kuwa serikali yetu inaishi kwa matukio na kamwe wao c binadamu wa kawaida wanaweza kujifunza kutokana na makosa mengine...yaleyale mazungumzo baada ya kuua na kuumiza raia wasio na hatia kwa kodi zao.
 
Nyie mnaoshabikia machafuko hayo mnajua madhara ya kufanya biashara mitaani bila kuwa na sehem maalum?kwanza mwny biashara hawezi kupata mkopo kirahs koz alipo ni barabaran,kumbukeni pale kariakoo kongo,pili govt inakosa mapato tatu uhalifu unaongezeka na 4 unplaned city...acheni ushabiki usio na maana.mbeya haina rais coz ule ni mkoa ambao ni sehem ya tanzania na rais wa tz ni jakaya kikwete.
 
Ametaka watolewe na wametolewa,ila kwa mujibu wa mdau alonijuza ni kuwa kumekua na maneno ya hapa na pale baina ya sugu na d.c pamoja na r.c,pia raia waliendelea kumnyanyua juu juu mdau wao sugu,na wanaendelea kumuita Rais
sasa mbona heading inaonyesha kashawatoa? then habari inasema "kataka", tuache ushabiki uliopitiliza!
 
tafuta kule kwenye thread nyingine ya mbeya,acha uvivu.
sugu.jpg


sugu akiongea na wananchi


mkk.jpg


sugu ma mkuu wa wilaya
 
Nyie mnaoshabikia machafuko hayo mnajua madhara ya kufanya biashara mitaani bila kuwa na sehem maalum?kwanza mwny biashara hawezi kupata mkopo kirahs koz alipo ni barabaran,kumbukeni pale kariakoo kongo,pili govt inakosa mapato tatu uhalifu unaongezeka na 4 unplaned city...acheni ushabiki usio na maana.mbeya haina rais coz ule ni mkoa ambao ni sehem ya tanzania na rais wa tz ni jakaya kikwete.

Naona inakuuma kama ID yako. :)
 
1. Hiyo ndiyo ilikuwa inatakiwa toka mwanzo, na si kufanya biashara bila mpango, kwa hiyo hapo inaonyesha wameufyata.

2. Watawachiwa kwa dhamana na watafikishwa mahakamani kama kawaida, kama unabisha kamuulize Lema.

3. Wanahamu ya kwenda India wakaonane na ndugu zao, si unawajuwa?


Hahahahahah, hali ilitulia mapema sana na Kandoro alishaongea na waandishi wa habari kabla Sugu kufika huko (na picha zipo hapahapa JF), Ustake ncheke.

naona unatengeneza remix ya thread..kwahiyo mazungumzo ya kandoro na wanahabari ndo umeleta huo muafaka?ukweli utakuweka huru daima.
 
1. Hiyo ndiyo ilikuwa inatakiwa toka mwanzo, na si kufanya biashara bila mpango, kwa hiyo hapo inaonyesha wameufyata.
2. Watawachiwa kwa dhamana na watafikishwa mahakamani kama kawaida, kama unabisha kamuulize Lema.
3. Wanahamu ya kwenda India wakaonane na ndugu zao, si unawajuwa?
Hahahahahah, hali ilitulia mapema sana na Kandoro alishaongea na waandishi wa habari kabla Sugu kufika huko (na picha zipo hapahapa JF), Ustake ncheke.

Kuna tofauti ya kuongea na waandishi wa habari na kuongea na wananchi. Na hii picha ya msaidizi wake hapo chini says it all. FF nikupeleke dinner?

mkuu+wa+wilaya.jpg
 
Back
Top Bottom