1. Hiyo ndiyo ilikuwa inatakiwa toka mwanzo, na si kufanya biashara bila mpango, kwa hiyo hapo inaonyesha wameufyata.
2. Watawachiwa kwa dhamana na watafikishwa mahakamani kama kawaida, kama unabisha kamuulize Lema.
3. Wanahamu ya kwenda India wakaonane na ndugu zao, si unawajuwa?
Hahahahahah, hali ilitulia mapema sana na Kandoro alishaongea na waandishi wa habari kabla Sugu kufika huko (na picha zipo hapahapa JF), Ustake ncheke.
sasa mbona heading inaonyesha kashawatoa? then habari inasema "kataka", tuache ushabiki uliopitiliza!
tafuta kule kwenye thread nyingine ya mbeya,acha uvivu.
Nyie mnaoshabikia machafuko hayo mnajua madhara ya kufanya biashara mitaani bila kuwa na sehem maalum?kwanza mwny biashara hawezi kupata mkopo kirahs koz alipo ni barabaran,kumbukeni pale kariakoo kongo,pili govt inakosa mapato tatu uhalifu unaongezeka na 4 unplaned city...acheni ushabiki usio na maana.mbeya haina rais coz ule ni mkoa ambao ni sehem ya tanzania na rais wa tz ni jakaya kikwete.
1. Hiyo ndiyo ilikuwa inatakiwa toka mwanzo, na si kufanya biashara bila mpango, kwa hiyo hapo inaonyesha wameufyata.
2. Watawachiwa kwa dhamana na watafikishwa mahakamani kama kawaida, kama unabisha kamuulize Lema.
3. Wanahamu ya kwenda India wakaonane na ndugu zao, si unawajuwa?
Hahahahahah, hali ilitulia mapema sana na Kandoro alishaongea na waandishi wa habari kabla Sugu kufika huko (na picha zipo hapahapa JF), Ustake ncheke.
1. Hiyo ndiyo ilikuwa inatakiwa toka mwanzo, na si kufanya biashara bila mpango, kwa hiyo hapo inaonyesha wameufyata.
2. Watawachiwa kwa dhamana na watafikishwa mahakamani kama kawaida, kama unabisha kamuulize Lema.
3. Wanahamu ya kwenda India wakaonane na ndugu zao, si unawajuwa?
Hahahahahah, hali ilitulia mapema sana na Kandoro alishaongea na waandishi wa habari kabla Sugu kufika huko (na picha zipo hapahapa JF), Ustake ncheke.
avoid ignorant.Mkong'oto ulishawatuliza zamaani. Sugu kapata pakutokea.