Hatimaye Mbeya kumetulia

Mnashangilia wakati wenzenu tayari wameshapata kipondo na wengine wamepoteza maisha! Ama kweli watu hamnazo kabisa.

Wewe naona hujui kuwa ukombozi huwa kuna watu wakujitoa sadaka kwa ajili ya wengine. Naona huijui historia ya ukombozi ilivyo. Huwa ni lazima wachache waumie ili kutokee mabadiliko bila hivyo usitegemee watawala watawasikiliza. Hata kama watu wameuawa na wengine kujeruhiwa lakini watawala wamenyosha mikono fuatilia nini wamekubaliana.
 
Muda huu mbunge wa chadema sugu ametangaza machnga wote kuendelea na biashara baada ya magigano ya siku mbili bahina ya machinga na police. Baada ya kikao kirefu kati ya mkuu wa mkoa, rpc,mbunge,mkurungenzi. Mambo yapo swari na vijana wanashangilia barabara nzima kwa maandamano ya amani........ Hii ni habari njema kwakweli.
 
sasa mbona heading inaonyesha kashawatoa? then habari inasema "kataka", tuache ushabiki uliopitiliza!
 
Li serikali kama la mazezeta vile. Haya majadiliano kama wangefanya kabla ya mapigano si ingeepusha shari? Wanasubiri wauwe kwanza halafu ndo wanafanya majadiliano? Wapuuzi wakubwa.
 
baada ya vurugu za wamachinga wakidai haki zao za msingi na wakitoa shinikizo kuwa hawataki kuongea na mtu mwingine yoyote zaidi ya rais wao sugu.wakidai kuwa hali itarejea ikiwa haya yafuatayo yatatekelezwa

1. Waakikishie kuendelea kufanya biashara katika maeneo yao.
2. Wenzao wote walioshikiliwa na polisi waachiwe bila masharti
3. Wote waliopo hospitali kutokana na majera ya vurugu hizo wapatie matibabu ya hali ya juu.

Baada ya kikao kilichofanyika kati ya sugu na serikali ya mkoa. Kandoro amekubali kutekeleza masharti yote matatu na wamachinga wanarejea katika maeneo yao. Kwasasa sugu anaongea na wapiga kura wake wanamshangilia mbaya.

Big up sugu wapiga kuwa wako wamekupa heshima kubwa sana na hii ni salamu kwa serikali kuwa nguvu ya dola haishindi nguvu ya umma.

1. Hiyo ndiyo ilikuwa inatakiwa toka mwanzo, na si kufanya biashara bila mpango, kwa hiyo hapo inaonyesha wameufyata.

2. Watawachiwa kwa dhamana na watafikishwa mahakamani kama kawaida, kama unabisha kamuulize Lema.

3. Wanahamu ya kwenda India wakaonane na ndugu zao, si unawajuwa?


Hahahahahah, hali ilitulia mapema sana na Kandoro alishaongea na waandishi wa habari kabla Sugu kufika huko (na picha zipo hapahapa JF), Ustake ncheke.
 
tujuze ndugu yangu wameua wangapi????poleni jamani MUNGU awatie nguvu kwenye huu wakati mgumu
 
baada ya vurugu za wamachinga wakidai haki zao za msingi na wakitoa shinikizo kuwa hawataki kuongea na mtu mwingine yoyote zaidi ya rais wao sugu.wakidai kuwa hali itarejea ikiwa haya yafuatayo yatatekelezwa
1. Waakikishie kuendelea kufanya biashara katika maeneo yao.
2. Wenzao wote walioshikiliwa na polisi waachiwe bila masharti
3. Wote waliopo hospitali kutokana na majera ya vurugu hizo wapatie matibabu ya hali ya juu.
Baada ya kikao kilichofanyika kati ya sugu na serikali ya mkoa. Kandoro amekubali kutekeleza masharti yote matatu na wamachinga wanarejea katika maeneo yao. Kwasasa sugu anaongea na wapiga kura wake wanamshangilia mbaya.
Big up sugu wapiga kuwa wako wamekupa heshima kubwa sana na hii ni salamu kwa serikali kuwa nguvu ya dola haishindi nguvu ya umma.
sugu is really an item in mbeya, aaaaaah? big up to him..
 
isije tena tunasikia mabomu yanatupwa mtaani kama ilivyokuwa arusha juzi kati
 
hili liwefundisho kwa viongozi ambayo wanachukua maamuzi ambayo awapimi impact yake kwa jamii.ocampo wa kwanza kumchukulia hatua hapa ni mkuu wa mkoa na kaimu kamanda aliye amuru askari wapige raia lakini wanasahau kuwa umma ukihamua hizo risasi zao zinaweza kuwa maji.ushaidi tosha ni pale ambapo polisi walishindwa,wakaja jeshi nao wamechemsha.
 
Hizi ndio aina post zinazokera ,yaani vijiweni hatudatishi ki mizinguo namna hii!aargh!
 
Haitoshi kusalimu amri, Watekeleze yale yanayowezekana kwa wananchi, sio ubabe.
 
magamba banaa! paka watu waandamane ndo wanashika adabu yao!! kazii kweli
 
Back
Top Bottom