Kurasa za mbele za magazeti ya Nipashe, the guardian,Mwananchi na tanzania daima yaonesha umati wa watu katika mkutano wa kampeni ya slaa moshi.
Bila shaka mafisadi watayanunua yote ili wananchi wasijue ukweli
Hawa ni wanamapinduzi wa kweli kama wambulu, kilimanjaro hawadanganyiki kirahisi,mwaka huu CCM watajiju vizuri.
Hakuna cha kuhofia. Wao husema 'Ushindi unakuja'. Sisi twasema 'Muda unakuja'. Unaweza kuzuia hata bomu la nyukilia lakini huwezi zuia muda.
Kilimanjaro na Mikoa yote inayoamini mabadiliko kuwa ni lazima wanakilisha WIMBI la bahari linalosafiri.
Tsunami ilipiga Indonesia. Lakini wimbi la Tsunami lilifika mpaka fukwe za Pwani ya Tanzania.
Watu wa Tanga,Lindi na Mtwara (wanaaongoza kwa kufulia kila sekta.wazee wa gahawa, urojo na pweza) wakae tayari. Wimbi la mabadiliko linakuja. Na hakuna wa kulizuia.
Kwa wale wanaoota kurudisha majimbo kama Moshi Mjini kwenye mikono ya Mafisadi. Wasahau. Labda niwashauri --- Wahamie Tanga, Lindi na Mtwara.
Picha jamani!!!
Naomba kunukuu uliyoandika Mkuu PJHawawezi, maana tulishaona tangu jana kwenye newz!
Napenda niwasifu watu wa Moshi, maana wameonyesha wazi kuichoka ccm.
Hawa ni mashujaa!
Utani wana-CHADEMA kwa wana-CCM. Wakiambiwa "CCM oyee" wao wanajibu "uuuwi" na kushika kichwa kama kilio.Huna gazeti la mwananch hapo Ofisini?
Naombeni kuuliza mbona kwenye ile picha kwenye gazeti la Mwananchi umati wote umeweka mikono kichwani?
Huna gazeti la mwananch hapo Ofisini?
Naombeni kuuliza mbona kwenye ile picha kwenye gazeti la Mwananchi umati wote umeweka mikono kichwani?
walikuwa wanalia kilio cha umaskini
Hakuna cha kuhofia. Wao husema 'Ushindi unakuja'. Sisi twasema 'Muda unakuja'. Unaweza kuzuia hata bomu la nyukilia lakini huwezi zuia muda.
Kilimanjaro na Mikoa yote inayoamini mabadiliko kuwa ni lazima wanakilisha WIMBI la bahari linalosafiri.
Tsunami ilipiga Indonesia. Lakini wimbi la Tsunami lilifika mpaka fukwe za Pwani ya Tanzania.
Watu wa Tanga,Lindi na Mtwara (wanaaongoza kwa kufulia kila sekta.wazee wa gahawa, urojo na pweza) wakae tayari. Wimbi la mabadiliko linakuja. Na hakuna wa kulizuia.
Kwa wale wanaoota kurudisha majimbo kama Moshi Mjini kwenye mikono ya Mafisadi. Wasahau. Labda niwashauri --- Wahamie Tanga, Lindi na Mtwara.
hongereni watu wa moshi, hongereni tena na tena, kwa kuwashangaza ccm,Hawawezi, maana tulishaona tangu jana kwenye newz!
Napenda niwasifu watu wa Moshi, maana wameonyesha wazi kuichoka ccm.
Hawa ni mashujaa!