Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,146
unajua watanzania tunapenda sana ku label watu vibaya..kwa hali ya maisha yetu haya ..kila mtanzania ni mwizi ila tunatofautiana fursa tu ...mwacheni mzee wa watu kama mwizi haya lakini mwisho wa siku akitaka kuja chadema tutamkubali au kumkataa kwa kuangalia vigezo ....nadhani tushafahamiana