Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inasema kwamba Umri Mdogo kabisa wa Mtanzania Kugombea Ubunge ni Miaka 21. Kwa Hiyo haijawahi kutokea katika Uchaguzi tukapata Mbunge mwenye Umri wa miaka 21. Ila kwa Sasa walio bungeni Joshua Nasari anaweza kuwa the Youngest
Mwenye kumbukumbu naomba anisaidie. Katika historia ya bunge la JMT Je ni mbunge gani wa kuchaguliwa (mbunge wa JIMBO) aliwahi kuingia bungeni akiwa na umri mdogo?
Hao hatutaki kujua habari zaoEti ni kweli kijana wa ccm bungeni ni nchemba, kibajaji na nyangwine?
I can see M4C is taking off!