Chief Isike
JF-Expert Member
- Jan 17, 2010
- 445
- 462
Hali ya kawaida tena mkuu? hapo ndiyo yuko katika hali ya kawaida mkuu.......hajawahi na hatawahi kuwa better than alivyo sasa.Otherewise it'll just remain a miraculous anticipation......
Sijui kama kuna siku alishawahi kuonyesha uwepo wa kumbukumbu.....I mean ni lini alishawahi kuonyesha kukumbuka anyways?
Mkuu Ben, big up brother. U have put it right.