Mwita25
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 3,831
- 1,164
Mbona kuna baadhi ya wabunge walishtakiwa na wakaendelea kula hela ya walipa kodi?hiyo sheria ipo kwa baadhi ya watu tu?
Mbunge ni mwajiriwa?
Mbona kuna baadhi ya wabunge walishtakiwa na wakaendelea kula hela ya walipa kodi?hiyo sheria ipo kwa baadhi ya watu tu?
hatimaye Mwandish wa habari Jeri Muro ameachiwa huru.mwandishi huyo aliyekuwa anafanya kazi TBC alikuwa anakabiliwa na kesi ya kudai rushwa...
Nadhani atarudi kazini na kendelea na kile kipindi chake ili kupigana na rushwa. Asiogope aendelee na vita ile aliyoianza.
Alimchezea Mkulu.Alimchezea nani?
Ameachiwa achiwaje? vipi tuhuma dhidi yake,zilipikwa? Na nani,na kwa sababu gani...vipi jina lake baada ya muda wote huo wa kupakana matope....naomba ufafanuzi kidogo hapa!
hatimaye Mwandish wa habari Jeri Muro ameachiwa huru.mwandishi huyo aliyekuwa anafanya kazi TBC alikuwa anakabiliwa na kesi ya kudai rushwa...
endelea kudhani upo juu ya sheria kuna siku tutawachoma vijiti makalioni kama gadaffi.
kwa akili yako Jerry alikuwa anafanya mchezo mchafu???????????
Ushindwe na ulegee..kwani wewe ndio Mungu?hata asipoajiriwa Tanzania ataenda kuishi Kenya hawana matatizo na miungu watu wanaodhani watatawala milele.Obama alikuwa na jibu moja tu kwa wale ambao hawakuamini kuwa Osama amekufa. Obama alisema ' you will never see Osama walking on this planet again'. Mimi nasema ' you will never see Jerry Muro employed again'
Kwani wewe hujui kuwa wabunge wameajiriwa na wananchi?kwanza naona hapa nabishana na mtu sie kabisaaa.Nisije pata hasira za bure na ikala kwangu...kwaheriiMbunge ni mwajiriwa?
Hahahaaa Pole Mr. Man....chungu kumeza, jitahidi.Sasa hivi itabidi tu awe anafanya kazi za back office. Kuuza sura kwenye TV sasa noo!
Sheria za nchi zinasema ukishashtakiwa mahakamani hutakiwi kuajiriwa tena na kampuni yoyote ile. Huyu Jerry Murro imekula kwake moja kwa moja.
Nakusubiri harakisha usije ukanikasirisha na wewe....Kwani wewe hujui kuwa wabunge wameajiriwa na wananchi?kwanza naona hapa nabishana na mtu sie kabisaaa.Nisije pata hasira za bure na ikala kwangu...kwaherii
hivi we jamaa ni binadamu kweli?Dah! Pole sana Jerry..Karibu tena uraiani. Lakini naamini utakuwa umeshapata fundisho. Siyo kila mtu ni wa kuchezea ndani ya TZ hii