Mi nimeona jina langu kwenye page ambayo jamaa mmoja alikua nayo. Wameonesha kabisa na loan breakdown. Thank you God. Ila sitaacha kutetea wale waliokosa kwani najua hali niliyokua nayo kabla ya habari hizi. Inauma sana kunyimwa mkopo usiombe ikukute.
Aliye update huu uzi mbu-pu lake lina mbu-pu erosion
Msiwe na wac nyie wenye div 3...najua mnawenge sana, mtapata mkopo!lkn kama mlichagua education
soma tarehe mkuu acha kukurupuka.Wadau msaada vp barchelor of commerce in banking and financial services ikoje wadau coz nimechaguliwa udsm .naomba ushauri please