Ndalama
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 8,787
- 6,533
Hii nayo ni siasa? Mod ikiwapendeza ihamishieni hii kitu inakostahiliHii inatokana na kutokuonekana kwa mchekeshaji huyu kwenye harusi ya memba mwenzake wa kundi la Vichekesho la ze comedy wakati wengine wote walikuwepo ukimuacha mgonjwa Vengu pekee taarifa kutoka kwa mnyetishaji wetu zinasema wawili hawa wamekuwa hawaivi kutokana na sababu za kibiashara.