Kwame Nkrumah
JF-Expert Member
- Dec 2, 2008
- 886
- 376
China inaogopwa bure kumbe ndiyo kwanza inapata manowari kama hii. Marekani wanazo 11. huku 3 zingine zikiwa zinaundwa.Hizi za US ni nyingi kuliko za nchi zote zikichanganywa pamoja.
http://www.bbc.co.uk/news/world-asia-china-19710040
http://www.bbc.co.uk/news/world-asia-china-19710040