BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,033
- 3,944
...Ndalo, unatoa taarifa ya uongo halafu unaingia mitini. Simamia hoja yako kama walivyosimamia zao akina Mpaka kieleweke na Crashwise. Hii ya kwako haijakaa vyema kwa kweli. Tupunguze mizaha kwenye mambo muhimu na ya msingi kama hili....! Haya, kwa aliye karibu, Kuna jipya???