Lile dukuduku la chadema kuzuiwa kufanya mkutano leo Arusha wamesharuhusiwa! Ndesamburo/Lema/Mbowe ndani ya uwanja leoeace::whoo:WAO WANAPESA SISI TUNA MUNGU!
hii umeitoa wapi wakati uwanja wa mkutano wa nmc umezingirwa na ffu na mabomu na farasi? hali ni mbaya arusha kwani polisi hawataki mkutano na wananchi wamefunga kazi zao tayari kupambana na polisi na wengine wameamua kukodi magari toka moshi kuongeza nguvu,polisi wa wilaya za arusha wameitwa kuongeza nguvu pia.
Mkuu niko eneo husika polisi wamefunga barabara na wako wengi sana kujianda kukabiliana na wanachadema..kuna polisi wali walikuwa wana fanya mazoezi yaani inachekesha...unauhakika na hizi taarifa ulizoletaLile dukuduku la chadema kuzuiwa kufanya mkutano leo Arusha wamesharuhusiwa! Ndesamburo/Lema/Mbowe ndani ya uwanja leoeace::whoo:WAO WANAPESA SISI TUNA MUNGU!
Mkuu niko eneo husika polisi wamefunga barabara na wako wengi sana kujianda kukabiliana na wanachadema..kuna polisi wali walikuwa wana fanya mazoezi yaani inachekesha...unauhakika na hizi taarifa ulizoleta
Thanks for information, ina maana wewe uko uwanjani?, lete taarifa ya kweli
Lile dukuduku la chadema kuzuiwa kufanya mkutano leo Arusha wamesharuhusiwa! Ndesamburo/Lema/Mbowe ndani ya uwanja leoeace::whoo:WAO WANAPESA SISI TUNA MUNGU!
WanaJF,
Wadau, hii dhana ya polisi kutoa kibali kwa chama cha siasa kufanya mkutano si sahihi.Vibali vinaombwa na watu binafsi, au vikundi vyengine ila sio, vyama vya siasa.
Vyama vya siasa vinapaswa kuwataarifu polisi,ili polisi watoe ulinzi,wahakikishe hali ya usalama inakuwepo katika mikutano.
Hili la polisi kusema inazuia mikutano ya vyama vya siasa. Au inatoa kibali ni kutokujuwa kazi yao. Au kutumika kisiasa.
Ninashangaa na ninaudhika sana kwa huyu Bw.Tendwa ambaye anatakiwa kusimamia sheria hii, kukaa kimyakama vile hayamhusu. Sisi pia kama wananchi bado hatuelewi haki hii ya chama cha siasa.
Chama cha siasa hakitakiwi kuomba kibali cha kufanya mkutano, kinatakiwa kutoa taarifa ili Polisi watoe ulinzi.
Polisi wanatuchanganya na sisi wenyewe tunajichanganya na kuchanganyikiwa.
Tufute dhana hii potofu ya "kibali cha polisi" kwa mkutano wa chama cha siasa vichwani mwetu. Na tumtake Tendwa aende public, tena sio mara moja tu, kukemea uharamia huu wa polisi wanaofanya kazi kama tawi la CCM.
Mkuu umenena ukweli mtu.