nafrai jumuia imepata katibu wake na namtakia kila la kheri, lakini naomba kutoa maoni yangu kuwa ni technical mistake nyingine kwa kumpa mchaga nafasi nyeti kama hiyo...ingefaa sana kama angetokea sehemu nyingine ya nchi mfano mbeya,mwanza au iringa (sio lazima mikoa hiyo but isiwe kaskazini) ili kuongeza ushawishi na mvuto wa chama katika maeneo hayo na kuondoa ile hoja kuwa cdm ni ya wachaga na ni ya watu wa kaskazini.