Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,948
- 710
Ingependeza kama ungekwenda kugombea one of those nafasiz kama unaamini hawakupitia kwenye screening yenye kiwango unachokiamini.Mh Regia rai yangu ni vijana hawa ni jasri?je walipata kuwa screened kwa uangalifu,na je wanauwezo wa kufanya kazi katika siasa za CCM,je wana uwezo wa kujenga hoja?je hali ya hypocricy ikoje?Tuanataka viongozi wa vijana ambao ni completey strong enough to accomodate siasa zinazoendeshwa na CCM.Kama mambo yako poa basi tuwatakie kazi njema