Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,510
- 28,416
teh patamu sana hapa...,,,,,,,,
Huyu msanii anaugonjwa fulani wa kiakili unaitwa Attention Seeking Disorder, ndio unaomsumbua sana.
Siku zote ataendelea kufanya vituko ili mradi avute attention za watu.
Kwa mfano: alianza kukaa uchi fiesta, kisha akaja kuomba radhi ''kisaniisanii'', leo anatoa picha kaolewa, kesho atadai kaachika, keshokutwa atadai ana mimba, then mimba imeharibika, then atajaribu kujiua kwa kunywa sumu, mwisho utasikia kaokoka..........
*Watu mnaompenda huyu dada anzeni kumsaidia kumrekebisha sasa, kabla mambo hayajawa mabaya zaidi huko mbele ya safari.
Bado Utetezi wako haujibu
utata uliopo hapo. Hicho kitu Ni cha kisaniii kabisa.
*Cheti cha ndoa lazima kisainiwe na wahusika wote wawili yaani mke na
mume mwenyewe na sio kwa niaba.
Picha inamwonyesha mwanamke pekee.
*Kwenye uislam hakuna kitu kinachoitwa kuoa kwa niaba ya mtu mwingine.
Zipo mila za makabila fulani ndio zina hicho kitu lakini sio kwenye
uislam wala kiserikali.
*Yote kwa yote, mbona upande wa waoaji hatuuoni hapo, yaani huo
''uwakilishi wa
mwanaume'' kama ulivyodai? Yaani hata upande wa mwanamke(Mzazi wa kiume)
na Sheikh(Ustaadh) anayefungisha ndoa hawapo hapo!!
Filamu hiyo hakuna mtu anaoa hiyo takataka!
lazima wamkamate wakamuunganishe na ponda kwa kesi ya uchochezi huyu, subir utaona
Pumbavu wangemuua kabisa gaidi mkubwa huyo
Iwapo huko Shinyanga na Mwanza wachawi wanachinjwa, hivi ni kwa nini na huyu huyu mshirikina asipigwe kiberiti hadharani???
Nadhani 'wana-usalama' waliomkamata waliongozwa na Ramadhani Ighondu. 'Rama' hawezi kumn'goa meno Farid, ila angekuwa kakamatwa Steven, lol. Sasa ni wakati muafaka wa Wakristo kujilinda wenyewe!
Kuna tetesi ameachiliwa kwa amri ya Sultani Jakaya baada ya kurejea kutoka Oman.
Pumbavu wangemuua kabisa gaidi mkubwa huyo