Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
Mkuu inaelekea hulijui ADC ipo masjid QUBA ya sinzaYapo AZANIA Front ndani Kule.....ukiingia tu ulizia Mtumishi yeyote Yule atakuonyesha ofisi zetu zilipo.
Mkuu inaelekea hulijui ADC ipo masjid QUBA ya sinzaYapo AZANIA Front ndani Kule.....ukiingia tu ulizia Mtumishi yeyote Yule atakuonyesha ofisi zetu zilipo.
Ndio mkuu atakuwa imamuADC, Mtasimaisha mgombea Igunga na Arusha Mjini kwenye chaguzi ndogo za ubunge.
Ndio mkuu atakuwa imamu
Hamna jipyahapo zaidi ya kuongeza watu wakula ruzuku za walipa kodi
angalia vile wavyo iga hadi rangi za bendera ili kuwachanganya wananchi
karibu sana na huku kwetu muone
Mhmmm!!!!! Yule Rashid wa cuf Naye ni padri? Lakini nasikia wanachama wake lazima wawe wamehifadhi juzuu za kutosha kichwaniUmekosea precise pangolin wamenidokeza watamsimamisha Yule Padri mzinzi WA kile chama cha Kanda ile ya kaskazini.
kumbe we ndiyo lawyer wa ADCUmekosea precise pangolin wamenidokeza watamsimamisha Yule Padri mzinzi WA kile chama cha Kanda ile ya kaskazini.
Jipya nililoona ni kwa Chadomo kusababisha watu kupoteza maisha kwa ujinga Kama ilivyotokea jana Morogoro, Hivi ile kesi ya Mnyika ya kusababisha mauaji Kule kwa Nchemba inaendelea vipi? Mpori naye anachekesha sana kapigwa mjengoni eti kisasi unamfuata MTU kwake si ndio balaa sasa.
Tunaanza na Bububu Znz ndio mtajua ADC iko vipi.....hatubipu sisi.
Hata maswala ya sheria una tuuliza sisi we mwanasheria gani usiye fuatilia mambo?
Hapa ADC hawana mwanasheria bora hii kazi wampe Prof.Maji marefu awe anapiga manyanga!
Mhmmm!!!!! Yule Rashid wa cuf Naye ni padri? Lakini nasikia wanachama wake lazima wawe wamehifadhi juzuu za kutosha kichwani
Ndio mkuu atakuwa imamu
Nahitaji kadi najitolea nyumba yangu kuwa tawi la chama na ofisa chanika buyuni. 0715386011
Makao yake makuu yapo Masjid gani?
Mkuu hivi JF kwako ni uwanja wa mapambano dhidi ya Uislam, badilika mkuu mapambano ya dini hayana faida jijengee heshima na kijengee heshima chama chako.
NDIO.......MHE. Hamad Rashid Mohamed ni mlezi WA ADC Kama aliva yo Sabodo kwa Chadema.
Mkuu nimekuelewa Ngoja nichomoke kabisa kwenye hii thread Asante kwa ushauriMkuu hivi JF kwako ni uwanja wa mapambano dhidi ya Uislam, badilika mkuu mapambano ya dini hayana faida jijengee heshima na kijengee heshima chama chako.