Hatimae siku 21 majibu ya tatizo la umeme yanukia

Salas

JF-Expert Member
Feb 15, 2009
382
82
kulingana na taarifa za hali ya hewa muelekio unaonyesha kutakuwa na na mvua zitakazonyesha kwa wingi hii ikithibitishwa na mvua zilizoanza maeneo ya dar na moro. Haya wale wapinzani baada ya umeme kupatikani mna jipya lipi? Rais kikwete anaakili sana, majibu yake ni sahihi tatizo la umeme jibu ni mvua. Ameangalia hali ya uchumí na kugundua suluhu ni mvua kwa sasa wakati serikali inajipanga kwa kutafuta wawekezaji. Serikali haikurupuki kuna mipango na mikakati. Bravo mr President
 
kulingana na taarifa za hali ya hewa muelekio unaonyesha kutakuwa na na mvua zitakazonyesha kwa wingi hii ikithibitishwa na mvua zilizoanza maeneo ya dar na moro. Haya wale wapinzani baada ya umeme kupatikani mna jipya lipi? Rais kikwete anaakili sana, majibu yake ni sahihi tatizo la umeme jibu ni mvua. Ameangalia hali ya uchumí na kugundua suluhu ni mvua kwa sasa wakati serikali inajipanga kwa kutafuta wawekezaji. Serikali haikurupuki kuna mipango na mikakati. Bravo mr President

so kunyesha kwa mvua ni mpango wa rais? unahitaji kumuona dakitari
 
Nachelea kusema wewe sangara ni panki wa kufikiri soma uelewe vizuri. Immediate solution na longterm solution zina maana yeyote kwako??
so kunyesha kwa mvua ni mpango wa rais? unahitaji kumuona dakitari
 
Wee SALAS inaonekana unafikiri kwa kutumia tumbo baada ya kubugia maharage. Tangu lini mvua za Dar na Moro, (tena zinyeshe msimu huu) zikatosheleza kujaza mabwawa. Mwezi wa pili/tatu/nne mvua kibao lakini mgawo ulikuwa kama kawa, sembuse sasa? Inaonekana hata geography hujasoma. Mvua ikinyesha Dar itasaidiaje kuleta umeme? Kuna mtambo wa HEP Dar? Duh bila shaka umetumwa na magamba.
 
Du mshkaji unachemka! Yani na wewe una support ujinga! We need long term solution
 
Wee SALAS inaonekana unafikiri kwa kutumia tumbo baada ya kubugia maharage. Tangu lini mvua za Dar na Moro, (tena zinyeshe msimu huu) zikatosheleza kujaza mabwawa. Mwezi wa pili/tatu/nne mvua kibao lakini mgawo ulikuwa kama kawa, sembuse sasa? Inaonekana hata geography hujasoma. Mvua ikinyesha Dar itasaidiaje kuleta umeme? Kuna mtambo wa HEP Dar? Duh bila shaka umetumwa na magamba.

Halafu mkumbushe kuwa mabwawa yana tope nyingi ndio maana uwezo wa kutunza maji kwa muda mrefu hayana wewe unaona bwawa limejaa kumbe robo tatu ni tope matokeo ukiwasha mitambo mwezi mmoja maji hamna.
 
Halafu mkumbushe kuwa mabwawa yana tope nyingi ndio maana uwezo wa kutunza maji kwa muda mrefu hayana wewe unaona bwawa limejaa kumbe robo tatu ni tope matokeo ukiwasha mitambo mwezi mmoja maji hamna.
tumsamehe huyu jamaa, eeti anasema wapinzani tutasema nini kwani hapa ni suala la upinzani!?
Tunataka umeme mwambie mkwele,eee sisi tunataka umeme!
 
Wewe unaishi Tanzania kweli.Hata kama unataka kumsafisha Kikwete si kihivyo.Hakuna mvua kubwa za kujaza mabwawa wakati huu.Mvua kubwa nyanda za juu sana sana zikiwahi zitaanza sometimes in October.Yaani wewe ni kama unaota hivi.
kulingana na taarifa za hali ya hewa muelekio unaonyesha kutakuwa na na mvua zitakazonyesha kwa wingi hii ikithibitishwa na mvua zilizoanza maeneo ya dar na moro. Haya wale wapinzani baada ya umeme kupatikani mna jipya lipi? Rais kikwete anaakili sana, majibu yake ni sahihi tatizo la umeme jibu ni mvua. Ameangalia hali ya uchumí na kugundua suluhu ni mvua kwa sasa wakati serikali inajipanga kwa kutafuta wawekezaji. Serikali haikurupuki kuna mipango na mikakati. Bravo mr President
 
kulingana na taarifa za hali ya hewa muelekio unaonyesha kutakuwa na na mvua zitakazonyesha kwa wingi hii ikithibitishwa na mvua zilizoanza maeneo ya dar na moro. Haya wale wapinzani baada ya umeme kupatikani mna jipya lipi? Rais kikwete anaakili sana, majibu yake ni sahihi tatizo la umeme jibu ni mvua. Ameangalia hali ya uchumí na kugundua suluhu ni mvua kwa sasa wakati serikali inajipanga kwa kutafuta wawekezaji. Serikali haikurupuki kuna mipango na mikakati. Bravo mr President

Yaani wewe ungekuwa karibu na mi yangekuwa yale ya niegeria. Nyinyi ndio wanafiki wakubwa na mnaendeleza hii migogoro ya siasa. Sisi hatuna tatizo na mvua kama akili yako inavyofikiri. Tunataka umeme usio wa msimu. Sasa kama mvua hazita fika huko itakuwaje, unajua ni kipimo gani cha mvua kitanyesha. Nyinyi ndio mnaokwenda kuwadanganya wananchi na kuwaibia kura zao bila kuwa na mkakati mkisubiri mungu awape ratiba.

Kama ungekuwa unajua umuhimu wa umeme usingeandika hii theard yako. Umeme ni kitu muhimu sana katika maendeleo kwa sababu kwa asilimia kubwa unatoa ajira kwa watu, na biashara inakuwepo. Yaani serikali ingelifanyiakazi hili suala kwa umakini zaidi na kuacha blabla.
 
Nachelea kusema wewe sangara ni panki wa kufikiri soma uelewe vizuri. Immediate solution na longterm solution zina maana yeyote kwako??
Akili yako ilivyo fupi imekufanya uone suala la umeme ni la wapinzani peke yao.wanaccm umeme unawaka kwao?
 
Back
Top Bottom