Salas
JF-Expert Member
- Feb 15, 2009
- 382
- 82
kulingana na taarifa za hali ya hewa muelekio unaonyesha kutakuwa na na mvua zitakazonyesha kwa wingi hii ikithibitishwa na mvua zilizoanza maeneo ya dar na moro. Haya wale wapinzani baada ya umeme kupatikani mna jipya lipi? Rais kikwete anaakili sana, majibu yake ni sahihi tatizo la umeme jibu ni mvua. Ameangalia hali ya uchumí na kugundua suluhu ni mvua kwa sasa wakati serikali inajipanga kwa kutafuta wawekezaji. Serikali haikurupuki kuna mipango na mikakati. Bravo mr President