Si uiulize serikali yako!!??Shillingi Million 60? Zote hizo za HARUSI wakati Watanzania hatuna VISIMA VYA MAJI?
Si uiulize serikali yako!!??Shillingi Million 60? Zote hizo za HARUSI wakati Watanzania hatuna VISIMA VYA MAJI?
Shillingi Million 60? Zote hizo za HARUSI wakati Watanzania hatuna VISIMA VYA MAJI?
mbona amechangia visima vingi tu jiulize wewe umewahi kuchangia nini?
Shillingi Million 60? Zote hizo za HARUSI wakati Watanzania hatuna VISIMA VYA MAJI?
naomba kuuliza wanagreat thinkers, hii HARUS ya DR itafungwa au pingamizi lililowekwa na Rose litakuwa limeikwamisha?
Shillingi Million 60? Zote hizo za HARUSI wakati Watanzania hatuna VISIMA VYA MAJI?
Shillingi Million 60? Zote hizo za HARUSI wakati Watanzania hatuna VISIMA VYA MAJI?
Siku hiyo dress cord ni Magwanda ya Khaki tu..
Mkuu Nenda pale Station kuna kampuni ya kuchimba Visima na wala siyo kazi ya sobodohivyo visima sabodo anachimba wapi? Maana vihele hele wangekuwa tayari wameshaleta picha na mahala vinapochimbwa
Shillingi Million 60? Zote hizo za HARUSI wakati Watanzania hatuna VISIMA VYA MAJI?
Dr. Saita...
Wairaqw tuna huruma. Pongezi nyingi kwa hatua kubwa za kufunga Ndoa. Tunasikia michango mingi kwa ajili ya harusi yako na michango mingine mingi itakuja. Itakuwa busara ukitumia sehemu kubwa ya fedha hizo kusaidia kwenye elimu au watoto yatima kuliko kuziteketeza kwa siku moja kwenye harusi. Kila mtu angependa kuhudhulia hiyo harusi, nafikiri ukilipia kituo cha television kimoja ikaonyesha live tukio hilo itasaidia sana then wewe na watu wa karibu wachache mkakusanyika mahali kusheherekea.