Kuna mgomo wa drivers wa daladala moshi,sababu ni kupanda kwa bei yamafuta,wakati huohuo wale wa BoDABODA WAMEPANDISHA NAULI HADI 2SH 2000
Daladala zinazotoa huduma kati ya pasua na moshi mjin zimegoma leo asubuh kwa madai ya kutaka kupanda kwa nauli.