Hatimae madawa ya kulevya yaruhusiwa Tanzania

X GIRL FRIEND

Member
Sep 2, 2011
69
21
ni kwa mujibu wa tangazo jipya linaloonyesha watumia madawa ya kulevya wakipinga uchangiaji wa sindano wanapojidunga madawa hayo,..tangazo hili linaonyesha kuunga mkono matumizi ya madawa hayo huku likipinga uchangiaji wa sindano.
 
sijaelewa!!ingawa unaweza kuwa na point
Tangazo linahamasisha mateja wasichangie sindano wakati wa kujidunga ili wasiambukizane magonjwa so nadhani mleta mada anahisi ndio wameruhusu kutumia madawa ila wajilinde tu wachangie hizo sindano.

Kama vile wanavyohamasishwa wapenda ngono wakumbuke kutumia kondomu ili kujikinga na STDs
 
Tangazo linahamasisha mateja wasichangie sindano wakati wa kujidunga ili wasiambukizane magonjwa so nadhani mleta mada anahisi ndio wameruhusu kutumia madawa ila wajilinde tu wachangie hizo sindano.

Kama vile wanavyohamasishwa wapenda ngono wakumbuke kutumia kondomu ili kujikinga na STDs
Asante Mkuu kwa ufafanuzi. Hilo kwa kweli halikubaliki. Tuunganishe nguvu kuzuia hili na wadhamini wote wa hilo tangazo wachunguzwe kama wanashiriki kuuza na kusambaza mauaji hayo ya kizazi chetu.
 
Back
Top Bottom