Hatimae ma dk kurudi kazini rasmi kesho

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,462
21,334
Nasikiliza clouds fm jamani
inatia moyo baada ya hotuba ya mh pinda wamesema sasa
wanarudi rasmi hospitalini wakiwapa mwezi mmoja kabla ya kurudi
tena na kutaka kujua hatima yao

basi kama ulikuwa na clinic wiki hii na zilizopita basi kesho uwahi mapema asbh
hospitalini wale mliokimbiza wagonjwa tumieni jioni hiikurudisha mapema kabla
awajajaa wodini

mwisho lengu letu ni kuona kuna muafaka kati ya serikali na ma dk
tunawatakia msimamo mwema na mungu awabariki

mungu ibariki tanzania mungu wabariki ma dk wetu
 
Sio wabarikiweeeee tu unaendelea kulala kesha ukiwaombea 9 march wanarudi tena mgomo kama awajahitimishiwa shida zao ..so baraka zako ziende kugonga na ikulu shemeji zetu waanze kula shavu wameteswa sana sana jamani mpaka dadayangu ukimwangalia utasema ameolewa na mpiga debe wa ubungo this enough
 
Dk ulimboka
amesema bado anasubiri maelewano ila kama maombi ya mzee wetu tunaomba turudi kazini tuwape mwezi mmoja jamani serikali tukielewana nao...
Wakati huo huo mzee wetu pinda amesema kuanzia leo hii mchana ameagiza polisi kuanza rasmi kuchunguza shutuma za blandina nyoni katibu wa wizara hii pamoja na kuhakiki kila docs zilizoletwa mbele yake hasa zile za kupimia hiv ambazo zinajulikana vilikuwa vibovu na mama akaambiwa ukwelii akutaka kustopisha zaidi ya kusema endeleeni kuvigawa sasa ukiwa kama umewahi kupima na hivi vyombo jamani kuna dalili umeshakufa wakati ukiwa hai
 
Natumaini mamlaka za Serikali zitachukua hatua stahiki kwa maofisa/viongozi ambao kwa namna moja au nyingine wana lawama kwenye mgomo huu. Tumesikia kauli za kupingana/kutishana/kejeli zote zilichangia kukuza mgomo, ni vema basi wahusika wakapima na kufanya maamuzi (mawaziri) na wengine wakachukuliwa hatua na mamlaka zao za uteuzi.
 
nasikiliza clouds fm jamani
inatia moyo baada ya hotuba ya mh pinda wamesema sasa
wanarudi rasmi hospitalini wakiwapa mwezi mmoja kabla ya kurudi
tena na kutaka kujua hatima yao

basi kama ulikuwa na clinic wiki hii na zilizopita basi kesho uwahi mapema asbh
hospitalini wale mliokimbiza wagonjwa tumieni jioni hiikurudisha mapema kabla
awajajaa wodini

mwisho lengu letu ni kuona kuna muafaka kati ya serikali na ma dk
tunawatakia msimamo mwema na mungu awabariki

mungu ibariki tanzania mungu wabariki ma dk wetu

p didy....hiko chanzo kinachefua..lakini tunashukuru mungu!
 
hatimae jana pinda alijishusha akawa mdoogoo anaomba hadi kupigiwa makofi..poor pinda!
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom